I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,929
- 10,747
Umefuata nini kwenye uzi huu na wewe kama si umbea unakusumbua ni nini?Inakusaidia nn? Tafuta hela achana na umbea
Waafrika kama nyie ndo mnawafanya hawa nguruwe wa kizungu waendelee kusema waafrika hatujitambui na tunabaguana wenyewe kwa wenyewe[emoji57][emoji57][emoji57]Inakusaidia nn? Tafuta hela achana na umbea
Mistake of fact. Katika ku-arrest mhalifu mtu yeyote anaweza akakosea akamkamata mwingine.
Na ikumbukwe kuwa wahalifu wengi kule US ni blacks. Ni kama tu walivyo wakurya hapa Tz
Huyo FBI agent wala hakujuiUmefuata nini kwenye uzi huu na wewe kama si umbea unakusumbua ni nini?
Natabiri vita hapa[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Mistake of fact. Katika ku-arrest mhalifu mtu yeyote anaweza akakosea akamkamata mwingine.
Na ikumbukwe kuwa wahalifu wengi kule US ni blacks. Ni kama tu walivyo wakurya hapa Tz
Kwani FBI hakamatwi? Under cover gani anajitambulisha in public, si amesha blow cover yake?Ubaguzi unaendelea pamoja na maandamano kuendelea kurindima pande tofauti tofauti za dunia. Police wa USA wamejikuta kwenye sintofaham baada ya kumkamata FBI bila kujua.
Tazama video hapa chini.
View attachment 1466644
Sasa kilichowafanya watii amri na kutoa vitambulisho vyao ni nini? Hujaona walivyosinyaa? Huyo jamaa aliwaambia tangu awali kuwa kila mtu anaweza kuwa polisi, so kwa yaliyoendelea baada ya kuona kitambulisho ina maana huyi jamaa ni afisa wa ngazi ya juu yaoKwani FBI hakamatwi? Undeecover gani anajitambulisha in public, si amesha blow cover yake?
FBI hukamatwa na huwa wanatii amri, FBI officers ni federal agent, hao ni local so taratibu za kikazi zinaweka mipaka baina yao. Uwepo FBI tena under civer haumzuii Afisa mwingine wa usalama kufanya kazi yake, hiyo ni huku bongo tu.
pole[emoji23][emoji3][emoji16]Undercover huwa hapewi kitambulisho chochote
Nakupuuza tu. Upumbavu ni kubishana na mtu usiyemjua tena aliye nyuma ya keyboard.Huyo FBI agent wala hakujui
Atakuwa FBI kwa ajili ya nchi ya nchi ya Sudan. Hawezi jianika hivyoKwani FBI hakamatwi? Undeecover gani anajitambulisha in public, si amesha blow cover yake?
FBI hukamatwa na huwa wanatii amri, FBI officers ni federal agent, hao ni local so taratibu za kikazi zinaweka mipaka baina yao. Uwepo FBI tena under civer haumzuii Afisa mwingine wa usalama kufanya kazi yake, hiyo ni huku bongo tu.