Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mistake of fact. Katika ku-arrest mhalifu mtu yeyote anaweza akakosea akamkamata mwingine.
Na ikumbukwe kuwa wahalifu wengi kule US ni blacks. Ni kama tu walivyo wakurya hapa Tz
This is a fake story. Hii ni habari ya mwaka jana na haihusiani na maandamano ya sasa.
Lakini pia huyo jamaa sio FBI agent. Ni kwamba walimfananisha na mtuhumiwa waliyekua wanamtafta alipotoa kitambulisho ikaonekana sio yeye.
Sasa mataahira wa mitandaoni chochote wanachokipokea wanakichukua kama kilivyo.
Hakuna alipochukua vitambulisho vyao. FBI Agent hana mamlaka hayo (ingawa huyo siyo FBI).Mbona akichukua vitamburisho vyao?
Mistake of fact. Katika ku-arrest mhalifu mtu yeyote anaweza akakosea akamkamata mwingine.
Na ikumbukwe kuwa wahalifu wengi kule US ni blacks. Ni kama tu walivyo wakurya hapa Tz
Hakuna alipochukua vitambulisho vyao. FBI Agent hana mamlaka hayo (ingawa huyo siyo FBI).
Kwani FBI hakamatwi? Undeecover gani anajitambulisha in public, si amesha blow cover yake?
FBI hukamatwa na huwa wanatii amri, FBI officers ni federal agent, hao ni local so taratibu za kikazi zinaweka mipaka baina yao. Uwepo FBI tena under civer haumzuii Afisa mwingine wa usalama kufanya kazi yake, hiyo ni huku bongo tu.
God bless white men policepole[emoji23][emoji3][emoji16]
Nilishaiona mara kadhaa muda mrefu kabla haijaletwa hapaRudia kuangalia video
Na wewe unaleta ukabila humu ndani sio?Mistake of fact. Katika ku-arrest mhalifu mtu yeyote anaweza akakosea akamkamata mwingine.
Na ikumbukwe kuwa wahalifu wengi kule US ni blacks. Ni kama tu walivyo wakurya hapa Tz
Wakurya😠😠😠😠 shame on you......Mistake of fact. Katika ku-arrest mhalifu mtu yeyote anaweza akakosea akamkamata mwingine.
Na ikumbukwe kuwa wahalifu wengi kule US ni blacks. Ni kama tu walivyo wakurya hapa Tz
Watu wabaya na vyote unavyotumia hapo vimetoka kwao, simu, mavazi yako mpaka ukiumwa dawa unazotumia zinatoka kwao kweli ni watu wabaya sana hao mabeberu hawafai kabisa[emoji23][emoji23][emoji23]Mabeberu watu wabaya sana
Mkuu mbona unabisha sana na swala lipo wazi jamaa wametoa bussiness card zao/vitambulisho wakampa huyo blackNilishaiona mara kadhaa muda mrefu kabla haijaletwa hapa
Niliyemkatalia kaongelea ID siyo card (business). Hao walitaka kum arrest sababu walimfananisha, yeye akakataa, walipomkagua na kukuta kitambulisho chake wakakiri kwamba wamemfananisha na hivyo kumfungua ndipo jamaa akawa anawaka na wai wakaendelea kuwa wapole kama walivyikuja. Hata ukamataji wai wala haukuwa wavurugu, aliye make scene hapo ni huyo mkamatwaji mwenyewe, siyo wakamataji.Mkuu mbona unabisha sana na swala lipo wazi jamaa wametoa bussiness card zao/vitambulisho wakampa huyo black
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] dah aisee jamaa si wauza mayai amaMistake of fact. Katika ku-arrest mhalifu mtu yeyote anaweza akakosea akamkamata mwingine.
Na ikumbukwe kuwa wahalifu wengi kule US ni blacks. Ni kama tu walivyo wakurya hapa Tz
Ahsante sana kwa vídeoUbaguzi unaendelea pamoja na maandamano kuendelea kurindima pande tofauti tofauti za dunia. Police wa USA wamejikuta kwenye sintofaham baada ya kumkamata FBI bila kujua.
Tazama video hapa chini.
View attachment 1466644
Niliyemkatalia kaongelea ID siyo card (business). Hao walitaka kum arrest sababu walimfananisha, yeye akakataa, walipomkagua na kukuta kitambulisho chake wakakiri kwamba wamemfananisha na hivyo kumfungua ndipo jamaa akawa anawaka na wai wakaendelea kuwa wapole kama walivyikuja. Hata ukamataji wai wala haukuwa wavurugu, aliye make scene hapo ni huyo mkamatwaji mwenyewe, siyo wakamataji.
Halafu mnamsingizia bure tu huyo jamaa kwamba ni FBI, kama angekuwa ni FBI basi kwa clip hii angeshafukuzwa kazi.
Andamaneni kuhusu hawa mashetani hapa chini kama kweli mnapambania haki
View attachment 1467191