Video queen wa video ya 'Kwetu' ni balaa

Mkuu mi huyo mtoto nikiwa nae simchoki mtoto anavutia kila idara
Mungu nipe na mimi[emoji2] [emoji2]

pwilo;
Huyo naye ni wa kumwomba Mungu akupatie?? Mbona watu hatunaga kinyaa jamani?? Nijue kuwa kuna kidume anayempanda kila siku nami nikaombe zamu yangu kweli?? Ati kajaaliwa, yaani umemwona wa kipekee Tz?? Hana hata mdogo wake?? Ningelitamani umtamani mdogo wake au hata jirani yake
 
Nisiwe mnafiki nikiona mwanamke mzuri kama huyo akiwa anafanya kazi ambayo haina hadhi kama yake roho inaniuma sana au ukute mwanamke mzuri halafu awe anafanya kazi bar anashikwa shikwa makalio au anajiuza roho inaniuma sana

Wanawake kama hao wanatakiwa uwakute wapo wanafanya kazi wizarani na maofisi makubwa makubwa
 
Sisi Wanaume tumekuwa ovyo kabisa. BWANA MUNGU, alimuumba "mwanamke" kwa ajili ya "mwanaume" na sio mwanaume kwa ajili ya mwanamke. Lakini, sasa kila kitu kimebadilika na imekuwa kinyume chake. Wanaume tumekuwa kama vile tuliumbwa kwa ajili ya wanawake. Wanaume tumekuwa watumwa wa wanawake. Kila kitu tunachofanya, tunafanya kwa ajili ya wanawake. Ndio maana MUNGU, amekasirika hata mvua hazinyeshi tena, na zikinyesha zinaleta maafa makubwa.
Wanaume amkeni, wanawake wapo kwa ajili ya kutustarehesha sisi, wala sio sisi kuwastarehesha wao. Ndio maana hata tukiwapa nini hawa viumbe, wanaishia kutudharau tu, sababu tumepoteza uhalisia wetu. Tunawatukuza sana hawa viumbe kuliko tuvyopaswa kumtukuza MUNGU, na kujitukuza sisi wenyewe. Shubaaamiti!
 
huyu mdada kuna siku nilimwona airport anawaka kama taa... fast jet ya mwanza kaingia kila mtu ametoa macho
 
We nawe, unababaika na mi kamera hiyo,kitu hiki hapa bila kamera 360 wala mipodozi yao kitu kinavuta,na huyu kwangu ni mchepuko tu.
Kama na wewe unajiamini, weka mkeo/mchepuko wako hapa
 
Naomba uliza ni mlemavu wa mguu?? Maana picha kwa pozii mguu sijaelewa
 
Kwa nini mkuu explain please
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…