Video Queens wa bongo na skendo za picha chafu!

Hzo picha mbona zipo vizur tu...kuziangalia haimaanishi tunaondoka na vidude vyao,acha tuendane na kasi ya dunia
 
Delicious alikamatwa kwa idhin ya Muheshimiwa Kigwangwala,hawa wanavibali vya kutoa huduma au?
 
Hivi mwanaume akipiga picha kavaa boksa tu yupo kifua waz nae anakuwa kapiga picha za utupu, au ni kwa jamii za kike tyu
 
Sasa kama ni hivi tuna subiri nini kuhalalisha prostitution TRA wajipigie kodi?
 
Naomba usijibu tena chochote ushamaliza kk hutaki usimruhusu mwanao kuwa video quen la cvyo msitupigie kelele mitandaoni!
 
Hakuna cha utamaduni uncle sisi tushakwama ukitaka upasuke mdomo ongea kuhusu mmonyoko wa maadili utapiga kelele weeeeeee ila tukubali as long as tumekubali kwamba entertainment(film,modeling,music) nazo ni ajira bc tuwe wapole tu hzo kazi huwezi zuia watu wasikae uchi cha msingi pigania familia yko kwamba mm ctaki mwanangu afanye kazi flan ukitaka kupigania na familia za wengne sababu ya uzalendo utakufa mapema!
 
Papuch now days hiana thaman n.kama dustbin tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…