Video Queens wa bongo na skendo za picha chafu!

Video Queens wa bongo na skendo za picha chafu!

Hivi karibuni vijana wengi wa kike wanaotumiwa na wasanii wetu katika utengenezaji wa video zao wamekuwa na mtindo mchafu wa kupiga picha za nusu uchi na kuzisambaza kwenye mitandao ya kijamii,swali la kujiuliza hapa je ni lazima vijana hawa kukaa nusu uchi ndo wapate kazi au kuna biashara zingine wanazifanya kwa mgongo wa kuwa video queens?maana sasa imekuwa kero kila ukiingia kwenye mitandao ya kijamii unakutana na picha zao kwa kweli ndo maana kumekuwa na wimbi kubwa la kumomonyoka kwa maadili Tanzania!View attachment 377512View attachment 377514View attachment 377515View attachment 377516View attachment 377517
kala mtu anakura kwa mtindo wake
 
Safi Sana Picha Nimezipenda Kwa Kweli Wanavutia Hawa Watoto Anayesema Picha Chafu Akapimwe
 
kwnn mnawaita video kwin na sio malaya wa mjini???
 
Back
Top Bottom