Video queens wa Diamond kwenye my number one

Nasikia video imegharimu Mil 50+ sasa kwanini usiipende?
 
Halafu wale watoto wanaonekana wakishua,maana wanamuzik wengi wanapenda kuchukua makahaba tu bora liende,wale ni proffessionals,yule mtoto wa kati mtamu dah anavyotoa ulimi na kulamba kidole duh,sijui kama ndomo hajapita pale,yaan naichek apa kwa laptop dah kitu cleaaaaar watoto safi hawanuki nuki wale ovyo
 
Nyie wote watoto wa juzi tu kwa taarifa yenu hiyo staili ni ya zamani sana ya kanda bongo man kama mnaikumbuka inde moniii inde monieee inde inde itafuteni hiyo video muiangalie
 

Ushamwaga....
 

Nakubaliana na wewe.. mi sio mpenzi sana wa huyu jamaa hii video katoa bwana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…