Video queens wa Diamond kwenye my number one

Video queens wa Diamond kwenye my number one

Nasikia video imegharimu Mil 50+ sasa kwanini usiipende?
 
Halafu wale watoto wanaonekana wakishua,maana wanamuzik wengi wanapenda kuchukua makahaba tu bora liende,wale ni proffessionals,yule mtoto wa kati mtamu dah anavyotoa ulimi na kulamba kidole duh,sijui kama ndomo hajapita pale,yaan naichek apa kwa laptop dah kitu cleaaaaar watoto safi hawanuki nuki wale ovyo
 
Nyie wote watoto wa juzi tu kwa taarifa yenu hiyo staili ni ya zamani sana ya kanda bongo man kama mnaikumbuka inde moniii inde monieee inde inde itafuteni hiyo video muiangalie
 
Halafu wale watoto wanaonekana wakishua,maana wanamuzik wengi wanapenda kuchukua makahaba tu bora liende,wale ni proffessionals,yule mtoto wa kati mtamu dah anavyotoa ulimi na kulamba kidole duh,sijui kama ndomo hajapita pale,yaan naichek apa kwa laptop dah kitu cleaaaaar watoto safi hawanuki nuki wale ovyo

Ushamwaga....
 
Hii video mpya ya MY NUMBER ONE ya diamond ,imenifany nimkubali sana,nyimbo iko poa sana ila kikubwa kilichofanya niipende ni wale video queens wake jinsi wanavyocheza kwa ubunifu wa hali ya juu,ki ukweli uwa najisikia raha sana wanavyocheza na kujishika shika,dah bas naona rahaa,sana sana pale inapokaribia kuisha dah,watoto wanajua sana wako vizur sana,video imetulia na wadada wamekamua inavyotakiwa,kazi nzuri sana,na style yao ni ngumu sana kui copy

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Nakubaliana na wewe.. mi sio mpenzi sana wa huyu jamaa hii video katoa bwana
 
Back
Top Bottom