Huko nchini Kenya eneo la Roysambu, kumetokea sintofahamu baada ya wananchi kuzuia kitendo cha mwananchi mwenzao kutekwa.
Your browser is not able to display this video.
Kwenye video ambayo inasambaa kwa kasi kwenye mitandao, mtu aliyeonekana kuwa anatekwa alikuwa akijibizana na mtu aliyejitambulisha kama askari huku wananchi wengine wakiwa wanatazama.