Video: Rais Magufuli asimulia jinsi wachawi kule Tanzania walimsumbua kwa kuroga daraja na barabara

Video: Rais Magufuli asimulia jinsi wachawi kule Tanzania walimsumbua kwa kuroga daraja na barabara

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Kila siku tunawaambia humu adui wa maendeleo Tz ni nyie wenyewe na ushirikina wenu, hadi Rais anaeleza mlivyomsumbua enzi zake akiwa waziri, kila akijenga daraja mnaliroga mpaka ikabidi akatambike kwa mzee fulani ndio mambo yakaenda.

Amewaomba hao washirikina watume radi ziwafuate watu waliokua wanaharibu.

 
Mkuu hamia tz, maana kwenu kumekushinda aisee
 
Tatizo la magufuli huwa ana utani na masiala mengi, kiasi kwamba mpaka huwa anatoka kwenye misingi.
Kuna kauli nyingine huwa hazina haja ya kizitoa mbele ya watu!! Hasa ukiwa kama kiongozi! Kama hilo la uchawi sumbawanga daaa, jana amelisisitiza hadi walipotoa mbuzi na pombe ndio daraja likajengeka!! Mala hiki kiwingu kuna mtu anatafutwa!! Hotuba za kusoma huwa zina uzuri wake
 
Kila siku tunawaambia humu adui wa maendeleo Tz ni nyie wenyewe na ushirikina wenu, hadi rais anaeleza mlivyomsumbua enzi zake akiwa waziri, kila akijenga daraja mnaliroga mpaka ikabidi akatambike kwa mzee fulani ndio mambo yakaenda.
Amewaomba hao washirikina watume radi ziwafuate watu waliokua wanaharibu.
Take it easy. Alikuwa anafanya jokes tu kutokana na simulizi za eneo alilokuwapo. Isikusumbue sana, ni masihara tu mazee
 
hacha ufara wewe huo ni utani wamakabila tu na tz ni kawaida.
 
Barabara murua kabisa inafika Burundi, Uganda, Rwanda, DRC, Zambia, Malawi

Tanzania inazidi kupanua mtandao wake wa barabara sambamba na umeme wa REA

EGQJ-ehXYAENEcj.jpeg
EGQJ-eiXUAArYUS.jpeg
EGQJ-egWkAEU_uE.jpeg
EGQJ-eiWoAIwPu4.jpeg
 
MK254 wewe jua uchawi Africa ni jambo la kawaida sana...Kenya uchawi upo, Tanzania upo...Nigeria ndio usiseme.

Tatizo tu wachawi hawa walioko kwenye bara letu kazi yao ni kurudisha maendeleo ya watu nyuma, hawana msaada kusukuma maendeleo mbele kwa sababu wanamtegemea Mungu asiyewaza mema hivyo ngumu hata kudeal na viongozi wala rushwa na mafisadi wa kutosha.

Africa kwa Yesu, tumgeukie Mungu waafrika.
 
Kuna kauli nyingine huwa hazina haja ya kizitoa mbele ya watu!! Hasa ukiwa kama kiongozi! Kama hilo la uchawi sumbawanga daaa, jana amelisisitiza hadi walipotoa mbuzi na pombe ndio daraja likajengeka!! Mala hiki kiwingu kuna mtu anatafutwa!! Hotuba za kusoma huwa zina uzuri wake
wale ni watani mkuu ukilichukua jinsi lilivyo utafika mbali
 
Kila siku tunawaambia humu adui wa maendeleo Tz ni nyie wenyewe na ushirikina wenu, hadi rais anaeleza mlivyomsumbua enzi zake akiwa waziri, kila akijenga daraja mnaliroga mpaka ikabidi akatambike kwa mzee fulani ndio mambo yakaenda.

Amewaomba hao washirikina watume radi ziwafuate watu waliokua wanaharibu.


Tz haiamini ktk uchawi, huyo mh. akiwa kama kiongozi wkt huo labda alishirikiana na wa.kei ktk kuamini kuwa mtu anaweza kuloga daraja. Hii ni ajabu kabisa maana haina ushahidi wowote, kuloga ingekuwa hivyo rahisi basi wachawi wangehamishia mlima kilimanjaro pale Kiambu County.
 
Back
Top Bottom