Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Iwe kama EU,Asante kwa kunikumbusha. Sasa hii ni aibu kwa jumuiya nzima, kama huyu ndio kiongozi wa jumuiya ni kitu gani watajadiliana humo? Namna ya kupata viongozi inapaswa kuangaliwa upya.
Rais wa European Commission na Council sio Rais wa nchi yoyote mwanachama.