Iwe kama EU,Asante kwa kunikumbusha. Sasa hii ni aibu kwa jumuiya nzima, kama huyu ndio kiongozi wa jumuiya ni kitu gani watajadiliana humo? Namna ya kupata viongozi inapaswa kuangaliwa upya.
Biden amechaguliwa kwa uchaguzi huru na wa haki na ana miaka 3 tu madarakani, akikaa sana madarakani ni miaka 8. Pia wananchi wake wana uwezo wa kumuondoa.Huyu na Biden wanatofauti gani? Awaachie vijana bwana, na vijana changamkeni acheni kulala hadi saa 4
Biden amechaguliwa kwa uchaguzi huru na wa haki na ana miaka 3 tu madarakani, akikaa sana madarakani ni miaka 8. Pia wananchi wake wana uwezo wa kumuondoa.
Huyu wa Sudan ana miaka 18 madarakani kwa njia za kidikteta, hawezi kuondolewa na raia mpaka afe au apende mwenyewe kuondoka.
Papaa aliwahi kupewa uenyekiti wa sadcc. Sijui aliongea lugha gani huko mikutanoni.Viongozi wa Mataifa ya Afrika wana shida gani jamani? Kwanini uendelee kung'ang'ania Madarakani wakati una hali mbaya kiafya? Kazi yenyewe ya stress sana bado ukomalie kubaki hapo badala ya kulea Wajukuu.
Hapo anaonekana pamoja na kuwa na Karatasi ya Hotuba bado anashindwa kutaja majina ya Marais wa Nchi nyingine za Jumuiya ya Afrika Mashariki.
At 72yrs, sio umri mkubwa sana kulinganisha na viongozi wengine kadhaa. Joe Biden ana 81, Joseph Boakai ana 78, Museveni ana 79.Issue siyo ugonjwa. Ni umri umeeenda. Jinga sana hílií
Huu ni mwaka wa 2023.Nadhan hiyo post ni rotational...pia unaweza Kuta Sudan brings more to the community kuliko hizo speeches tamu tamu kama za kina lizarius chakwera wa Malawi...
Alafu waafrika na speeches na debates ni vitu vya kuwaiga wakoloni... sidhani kama machifu wa zamani kama kina mangungo walikua hodari sana wa kutoa hotuba za kusisimua.
Mbowe kuwa m/kitu Chadema kwa miaka 100 haina athari kama hizi za ccm kukaa madarakani kwa miaka 60+Mapenzi hupofusha,
Huwezi ukaona hata uambiwe nini
Hapo unaona jamaa kakaa madarakani miaka miwili tu.
Viongozi wa Mataifa ya Afrika wana shida gani jamani? Kwanini uendelee kung'ang'ania Madarakani wakati una hali mbaya kiafya? Kazi yenyewe ya stress sana bado ukomalie kubaki hapo badala ya kulea Wajukuu.
Hapo anaonekana pamoja na kuwa na Karatasi ya Hotuba bado anashindwa kutaja majina ya Marais wa Nchi nyingine za Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Ndio Nini dayabetes mkuu?Mkuu unaijua dayabetesi wewe hapana chezea waweza draivu live mbele za kadamnasi