Rubani wa Ethiopian Airlines alipokaribia kutua KIA anga ilikuwa wazi na mawingu hayakuwepo. Akauona Kilimanjaro haraka akawaomba flight controllers KIA wamruhusu auzunguke wakamkubalia nakuwashtua abiria. Ilikuwa furaha kila mtu kwenye ndege ooh my God.
Pilot hes smart guy hapo ndipo wanapopigwa bao Watanzania mzungu atakwenda kumsifia mwenzake kwamba ET ni ndege bora inakupitisha mount kilimanjaro hata wakenya wanafanya hivyo smtimes.