blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 12,112
- 15,060
Wakina mama wanamlilia Sabayahuko mahakamani kesi yake unavyozidi pigwa kalenda.
Nasema hivi.. huyu Sabaya hastahili kuonewa huruma na mtu yeyote kwani alikuwa amejaa dharau kali, jeuri kiburi ma majivuno.
Kama aliweza muonesha hadharani mkuu wake wa mkoa Anne Mngwira (RIP) dharau ya wazi namna hii hadharani fikirieni ni mangapi ya kutisha aliyafanya gizani. Hakuna huruma Rais Samia atampa mtu kama huyu
Nasema hivi.. huyu Sabaya hastahili kuonewa huruma na mtu yeyote kwani alikuwa amejaa dharau kali, jeuri kiburi ma majivuno.
Kama aliweza muonesha hadharani mkuu wake wa mkoa Anne Mngwira (RIP) dharau ya wazi namna hii hadharani fikirieni ni mangapi ya kutisha aliyafanya gizani. Hakuna huruma Rais Samia atampa mtu kama huyu