Video: Sallam afunguka tuhuma za kumfanyia ‘figisu’ Ali Kiba Mombasa Rocks Music Festi

Nimeumizwa na swala la Mtanzania, muafrika mashariki na muafrika Alikiba kuzimiwa mic na kuambulia fedheha kwa sababu ya mmarekani Chris Brown.... Hayo mengine yaliyofanyika ni madhara ya shule na kutojua nin cha kuongea kwenye media......... Alikiba ungekaa kimya ingekuongezea heshima kuliko hii fedheha unayoambulia, hatimae tumeanza kujua hadi ambayo hayakutakiwa tuyajue.
 
Kiba mgonjwa wa akili plus roho ya uchawi hapo ni kijana akizeeka atakua jini makata
U [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umenichekesha kweli eti atakuwa jini makatta
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Hata Soudybrown anamuogopa sana Sallam[emoji23][emoji23]
Sallam ndiye mbeba lawama zote za WCB[emoji23][emoji23][emoji23]
 
U [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umenichekesha kweli eti atakuwa jini makatta
Yeye kila cku kulalamika kma mtoto wa kike kua chibu ananunua tuzo,mara kazimiwa mic mwisho atakuja kusema anamimba ya chibu[emoji3] [emoji3]
 
Reactions: irk

Kiba alivyohojiwa amesema yeye ndio alipaswa kupanda jukwaani kabla ya Wizkid
 
Yeye kila cku kulalamika kma mtoto wa kike kua chibu ananunua tuzo,mara kazimiwa mic mwisho atakuja kusema anamimba ya chibu[emoji3] [emoji3]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kwa mwendo huu huko ndo anakoelekea. Binafsi nampenda sana kiba ila tatizo kazidi ulalamishi, yaani analalamika kama mtoto yatima aliekosa chakula.
 
Haya Wabongo, nendeni Facebook page ya CITIZEN TV KENYA, mtajua kati ya Kiba na Chibu yupi anakubalika Kenya.
 
Hahahaha...Eti:

Chipandi mimi...chipandi chtejini mpaka Wizikidi apande.

Sasa Alikiba alileta hiyo Amri kama nani? Yeye anajua ratiba kuliko MC, Meneja na DJ?

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kweli kabisa, hata darasani wanafunzi wanaweza wakaelewa 87% wengine wataelewa siku nyingine, au wasielewe kabisa, hawa ndo huwa tunawaita mbumbumbu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanakonesha gari kielekea kibra
 
Kuendekeza ushabiki bila fact unajipoteza mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…