Video: Sallam afunguka tuhuma za kumfanyia ‘figisu’ Ali Kiba Mombasa Rocks Music Festi

Jiulize nini kilifanya kiba asipande jukwaani kabla ya wiz akapanda baada ya wiz kinyume na ratiba
 
Jiulize nini kilifanya kiba asipande jukwaani kabla ya wiz akapanda baada ya wiz kinyume na ratiba

Kuna kisababu kinatolewa kuwa ufungaji wa vifaa vya bendi haukufanywa kwa wakati ila napata ukakasi kwenye hili la ukubwa maana lahitaji upumbavu wa hali ya juu kulitekeleza maana wanamuziki hao na waandaaji waliijua kabisa ratiba
 
Mtandao mbalimbali ndo ilireport hivyo kenya na nigeria
 
Mtandao mbalimbali ndo ilireport hivyo kenya na nigeriaView attachment 417392

Kwa kuwa mitandao imeripot ndo unakuwa ukweli? kwani haiwezekani aliyezusha kuwa chanzo cha habari hiyo na mitandao/blogs kuiandika? Bado ni ngumu kuamini kuwa Tanzania tuna mwanamuziki aliyefikia kiwango hicho cha uzuzu eti kumzidi Wizkid kimuziki labda Wizkid wa Matarawe huko Songea ama wa Mombasa
 
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Unakumbuka ile mkutano wa chama cha odm ya juzi kati Mombasa matangazo yote yalisema kwenye huwo mkutano na diamond atakuwepo lakini cha ajabu diamond kamaliza kupaform akijua ndo kamaliza kila ktu shitukia kiba anapanda kama sapraiz artist kitu ambacho kiliikera sana mgt ya domo.......so ukiangalia apo ndo utagundua kuwa kiba anapenda sana umwiny coz ilijulikana kabisa kuwa angpangwa kwny ratiba asingekubali apande kabla ya mond coz pale Mombasa anajiona yy ndo anakubalika kuliko msanii yyt
 
Me mbona nilimuelewa siku ile ile tu
Na alifurahi sana Ben pol kumuomba msamaha lkn kwa domo ashakwama sasa ni mpera mpera ukimwaga ugali watu wanamwaga mboga

Yeye kasahau aliingilia show ya domo mombasa ili aonekane kafunika cha ajabu show yenyewe ikamgomea aache kutembelea beef maana unajua akimuongelea domo story itakuwa kubwa
 

Naona umehamisha magoli si vibaya lakini ushawahi ona "suprise" ikitangazwa hiyo huja tuu na kushangaza watu. Tukirudi kwenye jambo letu la msingi naona wengi tunatumia udhaifu wake(kiba) kuhalalisha hili we hudhani kuwa karaha waliyoipata kwenye mkutano wa ODM(siyo show ya Diamond) imeamuliwa /imelipizwa katika hili tunalolizunguka hapa ??
 
Nani alitumika kukusanya watu kwenye huwo mkutano kama cyo domo watu walienda pale wakijua atakuwepo na domo hawakwenda kuwa atakuwepo kiba...kwa nn wasiseme tokea mapema kuwa na kiba atakuwepo of coz ata mm sikupendezwa

Mtenda akitendwa huzani kaonewa
 

Bado haina mashiko hiyo hoja kuwa Diamond(siyo Domo ni kashfa ndugu) alitumika kuleta ama kukusanya watu , lakini waijua nguvu ya ODM Kenya hadi wahitaji busta ya mwanamuziki ? hao wanamuziki waliitwa kuburudisha pia kwa Mombasa Diamond na Kiba wana ngome kule hivyo yeyote ambaye angetangazwa angekuwa na impact sawa tuu.

Pia usemapo mtendwa akitendewa maana yake unataka kuniamijisha kuwa Ally pia katendewa hili kwa kukusudia ?
 
Imagine, hivi ingekuwa ni yeye kafanyiwa vile dai si angeogeshwa matusi ya ujazo wa bahari? Kwa kiba ile ilikuwa sawa kabisa, wakavimba kichwa wakajiona wajanja, team yake nao wakamsifia kwa sana, leo hii SK kaonekana backstage tu povuuuuuuuuuu!yeye kiba akiulizwa atujuze hapa kilichompandisha kwenye stage na kuperform kwenye show ambayo haikuwa yake tena baada ya mwenye show yake kuperform analojibu??? Tatizo la kiba anahangaika sana kujikwenza dhidi ya dai ndio maana anatumia kila njia mpaka za suprise lakini wapi! Ndio maana Mungu kambebesha bonge la AIBU juzi nyambafuuuuuu! Oooh! Me mkubwa kenya kuliko wizd kwa! kwa! kwa! kwa! kwaaaaaaa mbavu zangu jamani, labda umri
 
Huna fact
 
Ndo maana akaingia kama sapraiz artist ili ale shangwe za kumwaga cha ajabu akawa kama anatumbuiza msibani....pale cyo kariakoo hakuna watupa makopo na wala viroba afu na watu washamchoka kila siku show mombas hakuna sehem nyingne
 
Unaelewa maana ya neno fact? mie nauliza swali lijibiwe kama huna jibu unaweza pita kimya kimya.
Unambwela tu ndo maana nikaona bora tu nikwambie ivo......tokea mwanzo kwenye huwo mkutano tena kwenye page ya odinga ya twitter ndo aliandika kuwa domo ndo mtumbuizaji wa huwi mkutano hakumtaja kiba ila kiba akaingilia show ya mwenzie na mlifurahi balaa
 
Unambwela tu ndo maana nikaona bora tu nikwambie ivo......tokea mwanza kwenye huwo mkutano tena kwenye page ya odinga ndo aliandika kuwa domo ndo mtumbuizaji wa show hakumtaja kiba ila kiba akaingilia show ya mwenzie na mlifurahi balaa

sasa nani anayembwela Diamond ama wewe maana mantiki ya swali langu ni kutaka ukweli umeishia kwenye kashfa na hisia ambazo si hitimisho wala suluhisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…