Wasanii wetu huwa wanakosa hekima hasa alikiba sababu angesubiri baada ya kuwa na enough evidence ndo afunguke au angeacha mameneja wake waiongelee hii issue is called being smart.
Wataalamu wanasema "Dont throw a punch unless u know it will throw them down....." au
"Do not poke the bear"
Sasa anaaibika walitufumba macho hatuna bifu wala nini sasa ye kawa wa kwanza ku declare ambapo kimikakati tayari ashaonyesha weakness yake jamaa upande wa pili wanasema hatuna bif naye ye tayari ashaonekna ndo ana matatizo nao
Ali siku si nyingi mashabiki watamchoka