chabuso
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 6,380
- 5,884
Wadau haya ndio mambo yanayotokea katika nchi jirani ta Kenya,mwanasiasa mpinzani wa Kenya Miguna Miguna jumatatu ya tarehe 26-03-18 Uhamiaji kenya walitaka kumrudisha Canada kwa vile inasemekana jamaa ana uraia wa Canada....
Bonyeza kwenye "attached files" ili uangalie video...burudika na hii movie halafu toa maoni yako
Bonyeza kwenye "attached files" ili uangalie video...burudika na hii movie halafu toa maoni yako