Was*nge sana hawa wanaojiita wataalamu, kupenda pesa za haramu wakiona ni ujanja.doh hio ya cervix cancer wamechoma watoto wetu juzi kati na dogo wangu ana miaka saba wamemdunga pia
nilipigia simu waalimu nikawaambia kama kuna issue yeyote inayohusu afya za watoto wetu ni lazima tujulishwe
ila nikagindua probably ni maelekezo ya wizara mchakato uende kimya kimya bila kuutangaza maana wabongo wamesanuliwa upimbi wa chanjo na Hayati JPM na ukizingatia chanjo za COVID19 zime backfire kinomanoma
kiufupi wataalamu wetu wanatuuza kila mtu ajiangalie mwenyewe kitengo kipo compromised
Aisee!doh hio ya cervix cancer wamechoma watoto wetu juzi kati na dogo wangu ana miaka saba wamemdunga pia
nilipigia simu waalimu nikawaambia kama kuna issue yeyote inayohusu afya za watoto wetu ni lazima tujulishwe
ila nikagindua probably ni maelekezo ya wizara mchakato uende kimya kimya bila kuutangaza maana wabongo wamesanuliwa upimbi wa chanjo na Hayati JPM na ukizingatia chanjo za COVID19 zime backfire kinomanoma
kiufupi wataalamu wetu wanatuuza kila mtu ajiangalie mwenyewe kitengo kipo compromised