Video: Siku ya wanawake kimataifa, Wanawake madereva wa magari na mitambo wakionesha umahiri wao mbele ya Rais Samia

Hii nchi jau sana aisee, hamna anaeipenda hii nchi. Binafsi sipendezwi na hizi sifia sifia za kila leo.

Hamna anaeonesha kuipenda nchi zaidi ni kumpenda raisi pekee. Yani hiyo "Samia tunakupenda" ingekua "Tanzania tunakupenda" ingekua bora sana na ingepanda mbegu nzuri kwa vizazi vijavyo, Tanzania haifi ila Samia atakufa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…