Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Tupo kila mahali nchi nzimaSafi sana!
Mama yako nae anajielewa kama huyo? Na kama ndivyo, yeye amekueleza wapi tumuone? Achilia mbali swala yeye kugombea maana najua hilo haliwezi kutokea mpaka kiama.Hawa ndio wanamama wa kipekee tulionao wanaojielewa na kujitambua kwenye Chama chetu CDM, Sio yale makopo ya mboga mboga ya mlenda na kisamvu.
Jikite kwenye madaMama yako nae anajielewa kama huyo? Na kama ndivyo, yeye amekueleza wapi tumuone? Achilia mbali swala yeye kugombea maana najua hilo haliwezi kutokea mpaka kiama.
Kubwa jingaMama yako nae anajielewa kama huyo? Na kama ndivyo, yeye amekueleza wapi tumuone? Achilia mbali swala yeye kugombea maana najua hilo haliwezi kutokea mpaka kiama.
πππ Imepenya hiyoKubwa jinga
Kama huu ushauri ungeanzia kwa huyo Bavicha mwenzio anedai kuwa Mama wa watu walioko CCM hawajitambui ingependeza zaidi. Vinginevyo hata wewe bado hautaonekana mstaarabu.!Jikite kwenye mada
Chadema hadi kwenye miziziAma kwa hakika Bawacha ni Taasisi imara mno! Imeimarisha sana uwezo wa kujieleza kwa wakina mama na umewapa ujasiri mkubwa mno.
Angalia video hii ya umati ukimshangilia Sophia Mwakagenda aliponadi sera za chama chake huku akiomba Ubunge.
View attachment 1604463
Mungu ibariki ChademaAage salama.. hivi analia au anavumilia maana utalii unaishia hivyo..