, mama wema kamfundisha lesson. Ana~underestimate nguvu ya mitandao. Mitandao ndiyo kila kitu siku hizi, ina influence sana maisha yetu kuanzia nini mtu unakula, unavaa, wapi unasoma, hadi nani ataingia ikulu.
Anajitahidi kumuongea vizuri rais ila wote tunajua ni just for show, mfanyabiashara yeyote sasa hivi anajitahidi kusifiasifia kidogo uongozi ili asiingie kwenye 18 za africa's kim jeong eun. Ampondee rais alafu ale wapi? waendelee kumpa kichwa tu, hadi sa hivi kishavimba