Video: To all Tanzanians seeking answers to Kikuyu Luo mistrust watvh this video

Video: To all Tanzanians seeking answers to Kikuyu Luo mistrust watvh this video

Sammuel999

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2016
Posts
3,481
Reaction score
2,347
This was 1969 climax not the start but a continuation of what had been building up since 1950 after white people chased kikuyus from many city centres and in their stead brough Luos in to quell the spreas of mau mau against bantu affiliated tribes capitalising on language barrier

 
  • Thanks
Reactions: Oii
db0290f0834bf1586394d2321a1f99c9.jpg


And here is criminality shifting to the entire government
e775406e0052bb24a412f38b4b668dee.jpg


6b4bd9fed0cb209eb32264eadd598b5c.jpg

.
.
Hakuna Kura 26th October

e5109fa2f95225d6d724b43ed86b9e19.jpg
1bd6d3aeb0bf370fc9d21ad10d35ca8a.jpg
 
we jamaa unafanya ujinga sana, unaeneza propaganda za chuki zinazozidi kugawa taifa lenu kwa faida za kisiasa tena katika wakati huu wa mgawanyiko mkubwa

Baadhi ya Watanzania wenye akili fupi watafurahia maana wanataka kuona mkipigana,, na Wakenya wajinga pia watashabikia huu upuuzi sababu ya chuki tu

Mambo yote yaliyotokea katka historia yaliyopandikizwa na wakoloni ni kusameheana na kuungana tu kwa faida ya wote
 
we jamaa unafanya ujinga sana, unaeneza propaganda za chuki zinazozidi kugawa taifa lenu kwa faida za kisiasa tena katika wakati huu wa mgawanyiko mkubwa

Baadhi ya Watanzania wenye akili fupi watafurahia maana wanataka kuona mkipigana,, na Wakenya wajinga pia watashabikia huu upuuzi sababu ya chuki tu

Mambo yote yaliyotokea katka historia yaliyopandikizwa na wakoloni ni kusameheana na kuungana tu kwa faida ya wote
Its really upto you to see that most Tanzanians have blindly chosen a side becausw allegedy Raila is friends with Magufuli and so that automatically makes him your enemy.....i cant start convincing you not to ......
 
Its really upto you to see that most Tanzanians have blindly chosen a side becausw allegedy Raila is friends with Magufuli and so that automatically makes him your enemy.....i cant start convincing you not to ......
Wa Tz kumuunga mkono Uhuru sio tatizo, wapo wanaomuunga mkono Raila pia wengi na sidhani kama ina madhara sana, na wapo wengine hawana upande na wengine hata hawafuatilii kabisa huo uchaguzi

Kitu chenya madhara unachofanya wewe ni kueneza chuki za kikabila hapa, kati ya Kikuyu na Luo...believe me this is not good for anyone, chuki hujenga hasira na kuleta machafuko
 
This Samuel999 guy na raila hawana tofauti hata kidogo. you will do or say anything possible just so you can get to be politically correct and gain political mileage. even if it means destroying your own country's reputation in the process.
 
Free speech guys, si ndivo mnavohubiri. Au kuna limitations, kwamba free speech should be accorded to some groups whilst others should not express themselves free.
Acheni ufara wa kuignore tatizo la ubabe wa hiyo jamii ya central. Acheni ufara wa kukataza mtu kutoa information hata kama inakereketa, it's a fvckin information, fvcktards
 
Wa Tz kumuunga mkono Uhuru sio tatizo, wapo wanaomuunga mkono Raila pia wengi na sidhani kama ina madhara sana, na wapo wengine hawana upande na wengine hata hawafuatilii kabisa huo uchaguzi

Kitu chenya madhara unachofanya wewe ni kueneza chuki za kikabila hapa, kati ya Kikuyu na Luo...believe me this is not good for anyone, chuki hujenga hasira na kuleta machafuko
Ameenezaje chuki braza, ametupa habari adimu tuliyokuwa hatuifaham, bila kujua historia huwezi faham wapi unaelekea, wapi pa kusahihisha wapi pa kuacha. Ndio kuhabarishana huko.
Acha kupangia watu kutoa habari, wewe unaona yeye anaeneza chuki, unafaham chuki inayoenezwa na hao viongozi wao, unafaham wangapi wameshauwawa. Mnamlaumu Magufuli dikteta wakati nyinyi wenyewe madikteta.
Acheni hizo
 
Hizi video kufichuliwa nyakati hizi sio Sawa
ila upande wetu sisi tunawaangalia tu
mtwangane msitwangane sisi yetu macho tu
 
Pambaneni muondoe serikali ya wa Kikuyu nyie Wakenya
Serikali gani ya wakikuyu? Angalia cabinet ya Uhuru kutoka Amina Mohammed hadi Matiang'i na Rachel Omamo hio ndo serikali na hao nilotaja hakuna hata mkikuyu mmoja. Endeleeni kuskiza propaganda za NASA.
 
Haiwezekani Nchi inatawaliwa na Makabila mawili tu Kikuyu na Kalenjin hapana kabisa...manake ukishaform alliance ya Kikuyu na Kalenjin unajua utakua Rais...sasa nchi hiyo bora waigawe tu hamna namna
 
Haiwezekani Nchi inatawaliwa na Makabila mawili tu Kikuyu na Kalenjin hapana kabisa...manake ukishaform alliance ya Kikuyu na Kalenjin unajua utakua Rais...sasa nchi hiyo bora waigawe tu hamna namna
Ningekuwa na ile ramani inayoonyesha zile sehemu ambazo zilipigia Jubilee kura ningeieka hapa uione. Vipi na wasomali, wamaasai, wameru, waembu, waborana n.k ambao walimpigia Uhuru Kenyatta kura? Hata 2013 Uhuru Kenyatta hangeweza kushinda kwa kura za wakikuyu na wakalenjin pekee yake.
 
Hayo
Ningekuwa na ile ramani inayoonyesha zile sehemu ambazo zilipigia Jubilee kura ningeieka hapa uione. Vipi na wasomali, wamaasai, wameru, waembu, waborana n.k ambao walimpigia Uhuru Kenyatta kura? Hata 2013 Uhuru Kenyatta hangeweza kushinda kwa kura za wakikuyu na wakalenjin pekee yake.
Ramani huna na ndio mana huwezi kudanganya ukweli ni kwamba haya makabila mawili ndio wameongoza nchi tangu uhuru kwann? Halafu kuanzia Governor bank kuu mkuu wa Polisi waziri wa fedha wote kikuyu / kalenjin huo ni ujinga kabisa...kama mbwai mbwai hayo makabira mengine yatachagua kujiunga na moja ya nchi zozote watakazotaka kwa mtindo wa kura ya maoni...kwanza Raila atapata sehemu kubwa ya nchi ikiwemo Nairobi,Kisumu na Mombasa kama tukigawana mbao....
 
Back
Top Bottom