Mkuu huyo si muigizaji ni trafiki.Waigizaji wewe unasema trafiki.
Huoni kuna drone ina shoot..watu wapo location weweMkuu huyo si muigizaji ni trafiki.
Kwa aliyeona Drone Camera atajua kuwa ni muigizaji, lakini siyo vibaya ukaendelea na imani yakoMkuu huyo si muigizaji ni trafiki.
1.Mkuu ni mtandao hupi ambao watoto awamo??Kumbe hadi uwe kwenye mtandao wa watoto "Facebook" ndipo unaiona hiyo video?
Kaangalia movie ya Rush Hour, Chris Tucker., na sio Traffic wa kwanza kufanya hivyotabia ya hawa trafiki kufanya mambo ya ajabu ajabu barabarani yanadhalilisha jeshi la polisi. Hii inaendana kinyume na miiko ya kazi kabisa. Wengine mtapinga ila hii tabia imekuwa too much sasa kwa trafiki. Itapelekea hadi nidhamu kushuka.
Kwenye hii video nimeshangazwa sana na kusikitika.
Haaaaaa [emoji16]Kumbe hadi uwe kwenye mtandao wa watoto "Facebook" ndipo unaiona hiyo video?
Mleta post inaonekana kaingia mjini hivi karibuni.Kwa aliyeona Drone Camera atajua kuwa ni muigizaji, lakini siyo vibaya ukaendelea na imani yako