Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
sio traffick wengi, ni traffick wote, hawawezi kuishi bila rushwa, na chochote walichokijenga au kununua ni ishara ya matunda ya rushwa, hilo hala Mungu analijua.Traffic Police wengi ni wala rushwa. Hio kofia (Crown) inawapa kiburi sana.
Mbwa koko mna shida nyie kuzaliwa kwenye familia ya kimaskini halaf ukawa huna akili ni laana ni bora ungezaliwa mbwa tu ungekua na thamaniKoma kuwazushia? Kila mtu bongo mingo mingo. Dereva naye anamuibia bosi wake mafuta mpaka mzigo, acheni traffic wafanye kazi.
Idiot kabisa, ndiyo maana mnaendelea kudharauliwa. Hivi unaushahidi gani huyo dereva ni muadilifu?Mbwa koko mna shida nyie kuzaliwa kwenye familia ya kimaskini halaf ukawa huna akili ni laana ni bora ungezaliwa mbwa tu ungekua na thamani
Hatujui ndo maana hili tukio ni la aibu sana linapaswa kuchunguzwa.Idiot kabisa, ndiyo maana mnaendelea kudharauliwa. Hivi unaushahidi gani huyo dereva ni muadilifu?
Sasa anaedharauliwa si ni polisi hao kwa kua wengi hawana elimu na wametokea familia duni anachukua ufunguo wa gari anajua thamani hta ya tairi moja!? Ukoo wao wote hta wakijiuza hawawez nunua hta tairi moja ya gariIdiot kabisa, ndiyo maana mnaendelea kudharauliwa. Hivi unaushahidi gani huyo dereva ni muadilifu?
Mi kuna mmoja aliwaingia kwenye gari ya ofisi (sikutaka kujitambulisha japo uwezo wa nilikuwa nao )nikamkazia sasa akaingia kwenye gari twende kituoni mi nimamwambia poa,Hawa maaskari kutoka Bahi wanakera sana, unalazimishaje kuingia kwenye gari ya mtu na kutaka kuchomoa funguo? Gari yenyewe hata kukukimbia haiwezi, gari ina mali za mamilioni ya wafanyabiashara.
Mh. Rais kupitia kwa Inspekta Jenerali wa Polisi, sisi madereva tunakuomba uunde timu ya uchunguzi kufuatilia nyendo za Askari Trafiki wanaohudumu katika eneo hili la bahi. Wamejaa ubambikizi, ubabe, Rushwa na manyanyaso kwa madereva.
Sasa askari na mamlaka yote uliyonayo unashindana na kujibizana na dereva kama vile na wewe ni mpiga debe, iko wapi heshima na nidhamu ya jeshi la polisi?
Mwisho ukiona mpaka inafikia hivi dereva kuamua kulete vurugu hivi basi tutafakari kuwa kuna jambo halipo sawa mahala husika, hata hivyo malalamiko ni mengi sana kuhusu eneo hilo.
Swali la kujiuliza hapo ni kwanini Bahi tu na siyo Manyoni, Tinde ama Gairo? Kwani huko kote hakuna maokoto, si yapo na amani imetawala? Kinacholalamikiwa ni kuwa hapa kuna maokoto ya kulazimishwa, siyo yale ya fairplay.
Kwako Madam President,
Nakala kwa Mh. Masauni,
Inspekta Jenerali wa Polisi,
Kamanda wa Trafiki nchini.
Sheria msumenoSasa anaedharauliwa si ni polisi hao kwa kua wengi hawana elimu na wametokea familia duni anachukua ufunguo wa gari anajua thamani hta ya tairi moja!? Ukoo wao wote hta wakijiuza hawawez nunua hta tairi moja ya gari
Wewe trafficKoma kuwazushia? Kila mtu bongo mingo mingo. Dereva naye anamuibia bosi wake mafuta mpaka mzigo, acheni traffic wafanye kazi.
HahahahahaKuna siku nlikua nasafiri kwenda tarime. Ile tumefika bunda kwa mbele traffic akasimamisha bus akapanda na kumuamrisha dereva ageuza gari kurudi kituoni bunda. Deree akamwambia siwez kugeuza bus hapa hapatoshi. Yule mmama akakomaa gari igeuzwe.
Bwana dereva akamuangaliaaa, af akasonya.
Ghafla chuma ikawekwa gia namba moja, mara mbili, mara tatu ikawa inapepea mwendo kibati.
Traffic akaanza kupiga yowe ashushwe, dereva anazidi kuzipanga tu na akafungua mlango kabisa ili kama anataka kuruka aruke.
Wooii, mayowe yakazidi, abiria full vicheko
Tumefika kiabakari, akamuuliza, unataka nkufikishe Tarime au unashuka?
Mmama wa watu akashuka na matusi mengi sisi haooo kibati.
Dawa yao ni hii.
Akilazimisha kupanda unaenda kumshusha mkoa mwingine
Alafu anamtonya mwenzake kiaina "Anarekodi" ila lile jinga halisikiiš¤£š¤£Traffic mmoja kaona ishakua shida katambaa mdogo mdogo kaondoka eneo la tukio, unfortunately it was too late
Hahaha dereva aliamua kuchukua maamuzi magumu. Safi sanaš¤£š¤£Kuna siku nlikua nasafiri kwenda tarime. Ile tumefika bunda kwa mbele traffic akasimamisha bus akapanda na kumuamrisha dereva ageuza gari kurudi kituoni bunda. Deree akamwambia siwez kugeuza bus hapa hapatoshi. Yule mmama akakomaa gari igeuzwe.
Bwana dereva akamuangaliaaa, af akasonya.
Ghafla chuma ikawekwa gia namba moja, mara mbili, mara tatu ikawa inapepea mwendo kibati.
Traffic akaanza kupiga yowe ashushwe, dereva anazidi kuzipanga tu na akafungua mlango kabisa ili kama anataka kuruka aruke.
Wooii, mayowe yakazidi, abiria full vicheko
Tumefika kiabakari, akamuuliza, unataka nkufikishe Tarime au unashuka?
Mmama wa watu akashuka na matusi mengi sisi haooo kibati.
Dawa yao ni hii.
Akilazimisha kupanda unaenda kumshusha mkoa mwingine
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Kuna siku nlikua nasafiri kwenda tarime. Ile tumefika bunda kwa mbele traffic akasimamisha bus akapanda na kumuamrisha dereva ageuza gari kurudi kituoni bunda. Deree akamwambia siwez kugeuza bus hapa hapatoshi. Yule mmama akakomaa gari igeuzwe.
Bwana dereva akamuangaliaaa, af akasonya.
Ghafla chuma ikawekwa gia namba moja, mara mbili, mara tatu ikawa inapepea mwendo kibati.
Traffic akaanza kupiga yowe ashushwe, dereva anazidi kuzipanga tu na akafungua mlango kabisa ili kama anataka kuruka aruke.
Wooii, mayowe yakazidi, abiria full vicheko
Tumefika kiabakari, akamuuliza, unataka nkufikishe Tarime au unashuka?
Mmama wa watu akashuka na matusi mengi sisi haooo kibati.
Dawa yao ni hii.
Akilazimisha kupanda unaenda kumshusha mkoa mwingine