Video: Uchawi haupandi ndege, juju la Simba halikuzaa matunda Johanesburg

Video: Uchawi haupandi ndege, juju la Simba halikuzaa matunda Johanesburg

Akili za Nyani ndipo zinapoishia. Wao kila kitu wanafikiri ni uchawi.
 
Tusitetee ujinga kwa ushabiki. Hapa kuna watu wanapaswa kuwajibika. Tuache kutetea ujinga kwa heshima ya taifa letu na soka letu kwa ujumla. Tusifumbie macho kisa ushabiki, hata wangekua Utopolo wamefanya hivi inapaswa mashabiki wao wakemee kwa pamoja na si kutetea ujinga
 
Kwa kweli nilipoiona hyo video sikuamini Kama club yetu inaweza fanya upuuzi km huo mbele ya uwekezaji mkubwa uliofanyika,mbele ya viongozi wenye uweledi mkubwa Kama Barbara...

Na ukizingatia Simba sio wageni wa hii michuano mikubwa Africa, nilidhani nguvu kubwa ingewekezwa kwenye tactics na plans mwalimu na bench zima la ufundi...

Hata Kama ndio wanasema michezo ya akili (mind games) bado Ni Mambo ya kizamani sana

Kwa mtindo huo soka letu Tanzania tutasubiri sana
 
Wakati kaduguda anasema aliweza kwenda kuroga usiku wa manane kwenye uwanja wa as vita na kufanikiwa kuwafunga As vita mbona hamkusema kitu

Kaduguda ndo kiongozi wa juu simba
 
Aibu ya Taifa hii! Halafu bado walifungwa. Kipinde kile na FC Platinum, waliingia na Paka!

Simba bhana! Yaani wameturudisha kwenye Vita ya Majimaji ya mwaka 1905-1907! Wanaamini katika karatasi yenye maandishi ya 'Kiarab' bila shaka, ili kuvuka hatua ya nusu fainali!
Ile ilikuwa ni ' mind game ' tu ya kuwaingiza hofu Orlando japo haikufanikiwa.

Hakuna ulozi wowote uliofanyika hapo.

Subirini tarehe 30 mumchukie tena Inonga na baada ya mechi mkalale na viatu.

20220418_154541.jpg
 
Back
Top Bottom