Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
Dollar 1 ni Kitita huko kwenu???Sina mengi ya kuzungumza zaidi ya kuwa wa kwanza kucheka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hawa viumbe wanaijua tu hela, japokuwa kuitafuta kwao ni mtihani
Sikiliza matumizi ya dola 1
View attachment 2919253
Umemrekodi ili uje kumdhalilisha binti wa watu, kwa mtazamo wangu wewe ndiwe una akili mbovu kuliko uliyemdhalilishaSina mengi ya kuzungumza zaidi ya kuwa wa kwanza kucheka ππππ
Hawa viumbe wanaijua tu hela, japokuwa kuitafuta kwao ni mtihani
Sikiliza matumizi ya dola 1
View attachment 2919253
Imagine huyu ni kijana mtanzania na kwa huu uchanganyaji wa lugha ni msomi labda yupo chuo kikuu. Na kajibu hivi.Sina mengi ya kuzungumza zaidi ya kuwa wa kwanza kucheka ππππ
Hawa viumbe wanaijua tu hela, japokuwa kuitafuta kwao ni mtihani
Sikiliza matumizi ya dola 1
View attachment 2919253
Zinaweza zikawa senti pia zimekusanywa zikafika dola moja. Usimtetee Mkuu ππKitita cha dola moja maana yake unaweza kuwa na dola mojamoja zimepangwa nyiingi zikafika hata dola milioni moja.
Hicho nacho ni kitita cha dola moja.
Kitita ni jamii ya burungutu π€£π€£π€£
Nouma sanaElimu ,Elimu ,Elimu - ENL 2015
Hapa ni tunaoneshwa hali halisi, sio vinginevyo.Umemrekodi ili uje kumdhalilisha binti wa watu, kwa mtazamo wangu wewe ndiwe una akili mbovu kuliko uliyemdhalilisha
Kitita ni noti, senti hazina noti, senti hazina kitita.Zinaweza zikawa senti pia zimekusanywa zikafika dola moja. Usimtetee Mkuu ππ
Huwenda Mkuu.Kitita ni noti, senti hazina noti, senti hazina kitita.
Kama si kufanya hivyo, watanzania wangefahamu vipi kuwa wasomi wao wa vyuo vikuu hakuna wanachoelewa zaidi ya kimalkia?ulichofanya ni udhalilishaji
Mwanafunzi wa chuo kikuu daslamu[emoji23]Na ukute ana degree hapo