Video: Ukipewa kitita cha dola moja utafanyia nini? Tazama majibu yake hapa

Video: Ukipewa kitita cha dola moja utafanyia nini? Tazama majibu yake hapa

Umemrekodi ili uje kumdhalilisha binti wa watu, kwa mtazamo wangu wewe ndiwe una akili mbovu kuliko uliyemdhalilisha
Sijamshalilisha[emoji23][emoji23]

Nimekishalilisha kichwa chake pamoja na elimu ya Tanzania inayokazia kumfundisha mwanafunzi Ngoni Migration. Kwanini tusiliige taifa la Uchagani jamani?
 
Imagine huyu ni kijana mtanzania na kwa huu uchanganyaji wa lugha ni msomi labda yupo chuo kikuu. Na kajibu hivi.

Akiajiriwa pale wizarani si ataiuza nchi pesa ya nyanya kabisa.

Vijana tunazingua sana.
[emoji23][emoji23]Taifa linabidi kuwa makini sana
 
Sina mengi ya kuzungumza zaidi ya kuwa wa kwanza kucheka 😂😂😂😂

Hawa viumbe wanaijua tu hela, japokuwa kuitafuta kwao ni mtihani

Sikiliza matumizi ya dola 1
View attachment 2919253
🤣🤣🤣🤣🤣 La mamayeee hapo usikute ana mpango wa kwenda kuchukua Masters ya Business administration!
Neno kitita likamtia mtegoni tena cha 1 $=2400/=.
Doh!
 
Umemrekodi ili uje kumdhalilisha binti wa watu, kwa mtazamo wangu wewe ndiwe una akili mbovu kuliko uliyemdhalilisha
Hajadhalilishwa mkuu,labda kama hufahamu maana ya neno udhalilishaji ama unalitumia pahali si pake.
We kiingereza chote cha kujikweza anashindwa hata kujua exchange rate ya dollar kwa shilingi??!!
Na anajiita msomi?!!
Na vidada kama hivi huwa vinajishauaga vikifika college vinajikuta kama vinatembea angani.
 
Back
Top Bottom