Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
- Thread starter
- #21
[emoji23][emoji23][emoji23]ShwaaaaNdio maana tigo zao zinatanuka kila siku kwasababu ya tamaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]ShwaaaaNdio maana tigo zao zinatanuka kila siku kwasababu ya tamaa
[emoji23]Kabisa kabisaJob true true[emoji23]
Nilivyoonana naye na alichokijibu sikutarajia[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Confusion
Ulikuwa ni mtego boss[emoji23][emoji23]Dollar 1 ni Kitita huko kwenu???
Sijamshalilisha[emoji23][emoji23]Umemrekodi ili uje kumdhalilisha binti wa watu, kwa mtazamo wangu wewe ndiwe una akili mbovu kuliko uliyemdhalilisha
[emoji23][emoji23]KabisaaaaElimu ,Elimu ,Elimu - ENL 2015
Acha adhalilike sio kwa upumbavu huuUmemrekodi ili uje kumdhalilisha binti wa watu, kwa mtazamo wangu wewe ndiwe una akili mbovu kuliko uliyemdhalilisha
[emoji23][emoji23]ShwaaaaElewa neno kitita
[emoji23][emoji23]Taifa linabidi kuwa makini sanaImagine huyu ni kijana mtanzania na kwa huu uchanganyaji wa lugha ni msomi labda yupo chuo kikuu. Na kajibu hivi.
Akiajiriwa pale wizarani si ataiuza nchi pesa ya nyanya kabisa.
Vijana tunazingua sana.
🤣🤣🤣🤣🤣 La mamayeee hapo usikute ana mpango wa kwenda kuchukua Masters ya Business administration!Sina mengi ya kuzungumza zaidi ya kuwa wa kwanza kucheka 😂😂😂😂
Hawa viumbe wanaijua tu hela, japokuwa kuitafuta kwao ni mtihani
Sikiliza matumizi ya dola 1
View attachment 2919253
Hajadhalilishwa mkuu,labda kama hufahamu maana ya neno udhalilishaji ama unalitumia pahali si pake.Umemrekodi ili uje kumdhalilisha binti wa watu, kwa mtazamo wangu wewe ndiwe una akili mbovu kuliko uliyemdhalilisha
Nimemsikiliza hadi nikamhurumia aisee.[emoji23][emoji23]Taifa linabidi kuwa makini sana
Hawa viumbe sio wa kuwahurumia. Hawa ni wa kuwacheka tu. Hakuna namna mkuu[emoji23]Nimemsikiliza hadi nikamhurumia aisee.