Video: Umoja wa Ulaya ma Marekani wanapanga serikali ya mpito Ethiopia

Unapokuwa na raia wengi wamekimbilia nje ya nchi lazima wasaidiwe na mataifa makubwa kurudi kwa namna nyingine.
 

Jeshi La Marekani Linatafuta Nini Afrika
 
Jeshi La Marekani Linatafuta Nini Afrika
Muulize MO anatafuta Nini Africa na Babra wake,kwao Ni India lakini wanafanya Nini Tanzania? Kama wewe huwezi kwenda kutafuta Fursa nje ya nchi yako Basi usitake na wengine wasije nchini kwako kutafuta Fursa.

Marekani anatafuta Fursa dunia nzima Sio Afrika tu ndio maana ana Kambi za Jeshi dunia nzima ili kulinda Uchumi na Usalama wa Marekani.

Sera ya Marekani Ni kumfuta adui aliko kabla hajakaribia kwenye ardhi ya Marekani,Sasa Kama wewe unasubiri Mpaka uvamiwe shauri yako.
 

Acha Utumwa wa fikra
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…