Video: Upendo wa Senzo akimtuliza Manara akiipigania timu yake

Video: Upendo wa Senzo akimtuliza Manara akiipigania timu yake

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Haya mambo ya watu kuheshimiana na kupendana hivi huwezi kuyakuta kwa makolo, manara wakati anayapigania makolo na kupiga marufuku washabiki wa yanga kuingia uwanjani mechi ya CAF Barbra alitoa statement ya klabu kupinga maamuzi yake, hawakumuunga hata mkono kwenye vita dhidi ya kitenge, Shafih dauda na prisca kishamba.

Ona jana fasta tu bada ya tukio la Arusha klabu yake ya yanga imemuunga mkono kwa kumshauri afungue kesi dhidi ya Jemedari Said, huo ndiyo uongozi bora wa kiuweledi utakaopeleka mbele soka letu siyo ujinga wa makolo.

Ona hii video hapa Senzo akimtuliza mkurugenzi huyo wa habari wa Yanga baada ya kumpa makavu Rais wa TFF Karia ,hii ilikuwa katika harakati za kuitetea team yake anayoipenda kwa dhati ya Yanga Afrika.

Hongera sana Senzo, wasiojua uongozi waje wajifunze kwako

 
Atamshtaki Jemadari Said kwa kusema ukweli kuwaSimba ni bora kuliko Yanga ovarall au kitu gani?
kwa kusema alimtukana karia mbele ya mawaziri na wabunge na uongozi wa yanga umemuunga mkono kitendo ambacho mimi nakisifia sana ,uongozi lazima umuunge mkono mpambanaji huyu aliyewapa makombe bada ya kusota miaka 4
 
Uzuri Haji anajua kutumia udhaifu na mapenzi ya watu na timu zao atatia huruma na kudai kua anapambania maslahi ya timu na hayupo tayari kuona taasisi yake inachafuliwa na mtu yoyote. Wanayanga wote watamuonea huruma na mwisho wa siku he will get away with it.
 
senzo ni genius sana kwa kweli umeona alivyotuliaa hali ya hewa hapo???? dah makolo wajifunze kwa kweli

 
Uzuri Haji anajua kutumia udhaifu na mapenzi ya watu na timu zao atatia huruma na kudai kua anapambania maslahi ya timu na hayupo tayari kuona taasisi yake inachafuliwa na mtu yoyote. Wanayanga wote watamuonea huruma na mwisho wa siku he will get away with it.
kafanikiwa kuwapa makombe baada ya miaka 4 ,karia akimgusa ataona moto wa wananchi
 
Kwahi Manara anapambania team ya misukule.. unaweza kuja na ushahidi wa hayo mapambano..

Mi naona anatumia nguvu kubwa kuwaaminisha misukule kwamba yeye ni yanga damu na hakuwahi kushabikia wala kufanya kazi Simba...

Anapambania ugali wake na familia yake

Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
 
Kwahi Manara anapambania team ya misukule.. unaweza kuja na ushahidi wa hayo mapambano..

Mi naona anatumia nguvu kubwa kuwaaminisha misukule kwamba yeye ni yanga damu na hakuwahi kushabikia wala kufanya kazi Simba...

Anapambania ugali wake na familia yake

Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
alikuwa amelewa kipindi kile alishafafanua hilo na kawapa makombe bada aya ukame wa miaka 4 kwa nini wasimuamini?
 
Asamehewe tu maana hata hapo alikuwa amelewa.
 
Haya mambo ya watu kuheshimiana na kupendana hivi huwezi kuyakuta kwa makolo, manara wakati anayapigania makolo na kupiga marufuku washabiki wa yanga kuingia uwanjani mechi ya CAF Barbra alitoa statement ya klabu kupinga maamuzi yake, hawakumuunga hata mkono kwenye vita dhidi ya kitenge, Shafih dauda na prisca kishamba

Ona jana fasta tu bada ya tukio la Arusha klabu yake ya yanga imemuunga mkono kwa kumshauri afungue kesi dhidi ya Jemedari Said, huo ndiyo uongozi bora wa kiuweledi utakaopeleka mbele soka letu siyo ujinga wa makolo

Ona hii video hapa Senzo akimtuliza mkurugenzi huyo wa habari wa Yanga baada ya kumpa makavu Rais wa TFF Karia ,hii ilikuwa katika harakati za kuitetea team yake anayoipenda kwa dhati ya Yanga afrika

Hongera sana Senzo, wasiojua uongozi waje wajifunze kwako


kichwa cha mtoa post
FWvMEnKXEAEkAmR.jpeg
 
Haya mambo ya watu kuheshimiana na kupendana hivi huwezi kuyakuta kwa makolo, manara wakati anayapigania makolo na kupiga marufuku washabiki wa yanga kuingia uwanjani mechi ya CAF Barbra alitoa statement ya klabu kupinga maamuzi yake, hawakumuunga hata mkono kwenye vita dhidi ya kitenge, Shafih dauda na prisca kishamba

Ona jana fasta tu bada ya tukio la Arusha klabu yake ya yanga imemuunga mkono kwa kumshauri afungue kesi dhidi ya Jemedari Said, huo ndiyo uongozi bora wa kiuweledi utakaopeleka mbele soka letu siyo ujinga wa makolo

Ona hii video hapa Senzo akimtuliza mkurugenzi huyo wa habari wa Yanga baada ya kumpa makavu Rais wa TFF Karia ,hii ilikuwa katika harakati za kuitetea team yake anayoipenda kwa dhati ya Yanga afrika

Hongera sana Senzo, wasiojua uongozi waje wajifunze kwako


au hujaona hata barua ya TFF unakuja kunya kunya huku
 
au hujaona hata barua ya TFF unakuja kunya kunya huku
Hujaona kwenye hiyo video mwanasheria wa yanga ? atakuwepo kumtetea manara na kumshataki jemedari saidi kwa kumsingizia kwamba alitukana mbele ya mawaziri
 
Haya mambo ya watu kuheshimiana na kupendana hivi huwezi kuyakuta kwa makolo, manara wakati anayapigania makolo na kupiga marufuku washabiki wa yanga kuingia uwanjani mechi ya CAF Barbra alitoa statement ya klabu kupinga maamuzi yake, hawakumuunga hata mkono kwenye vita dhidi ya kitenge, Shafih dauda na prisca kishamba

Ona jana fasta tu bada ya tukio la Arusha klabu yake ya yanga imemuunga mkono kwa kumshauri afungue kesi dhidi ya Jemedari Said, huo ndiyo uongozi bora wa kiuweledi utakaopeleka mbele soka letu siyo ujinga wa makolo

Ona hii video hapa Senzo akimtuliza mkurugenzi huyo wa habari wa Yanga baada ya kumpa makavu Rais wa TFF Karia ,hii ilikuwa katika harakati za kuitetea team yake anayoipenda kwa dhati ya Yanga afrika

Hongera sana Senzo, wasiojua uongozi waje wajifunze kwako

Kwa ujumla viongozi wa simba ni mfano wa kuigwa. Mambo ya Manara ya kutukanatukana upande wa pili walikuwa hawakubaliani nayo.Walikuwa wanamkana mchana kweupe pee!
 
GSM na manara AKILI ZAO MOJA.
unaweza ukapewa utajiri ukanyimwa akili
 
Kwa ujumla viongozi wa simba ni mfano wa kuigwa. Mambo ya Manara ya kutukanatukana upande wa pili walikuwa hawakubaliani nayo.Walikuwa wanamkana mchana kweupe pee!
hiyo video mwanasheria wa yanga anaoenakana akipiga makofi inasemekana karia alitukana matusi ya nguoni manara akawa anamuambia aache utoto hadi mwanasheria wa yanga akampigia makofi, ni wivu tu uliwasumbua kina barbara kumtoa jamaa
Yanga wanamtumia vizuri sana na anaenda kuwapa ubingwa wa Afrika
 
hiyo video mwanasheria wa yanga anaoenakana akipiga makofi inasemekana karia alitukana matusi ya nguoni manara akawa anamuambia aache utoto hadi mwanasheria wa yanga akampigia makofi, ni wivu tu uliwasumbua kina barbara kumtoa jamaa
Yanga wanamtumia vizuri sana na anaenda kuwapa ubingwa wa Afrika
Wee nae unaaandika kama unaongea
 
GSM na manara AKILI ZAO MOJA.
unaweza ukapewa utajiri ukanyimwa akili
Kwa hii shida GSM walikosea sana yaani, hata kama Klabu ya Simba SC ndo iliyomleta na hizi shida.

Lakini watu makini kama wao walipaswa kuwa wamejitenga naye..!
 
Uzuri Haji anajua kutumia udhaifu na mapenzi ya watu na timu zao atatia huruma na kudai kua anapambania maslahi ya timu na hayupo tayari kuona taasisi yake inachafuliwa na mtu yoyote. Wanayanga wote watamuonea huruma na mwisho wa siku he will get away with it.
Sio kwa TFF
 
Back
Top Bottom