Kwani hapo ilipofanyika watoto walikuwepo?
Ubantu umo nasi milele, hata ngoma mashuleni wanafunzi wanakatika viuno...kutumbuiza hata siku za kusherekea kumaliza shule..tena wanavikata haswa, mbele ya wazazi na waalimu...na olikuwa furaha bila fikra mbovu. leo eti fyuu sijui fyaaa...mnalazimishwa kufungua hizo video kuangalia...ufeki mwingi umejaa watu sababu ya unini sijui...eti wai sijui wai sijui nini...wamekodi sehemu hawajaja majumbani mwenu kuwachezea watoto wenu...mzazi ukimruhusu mwamao hata mitaani kuangalia ni utajiju wewe na unavyolea...
Utamaduni wa kukata viuno umo ndani yetu, muwaache wanaopenda waburudike, kama uzungu sijui unini pelekeni hukoooo.