nataka kujua wapi ni watu na ipi ni pesa?..either way sidhani capacity ya ukumbi kwa kuangalia hiyo clip inaakisi unachodai..We mwenzio kapiga pesa. Hachagui kazi. 10,000×7500. We bado unazungumzia premia ligi. Kampa msaga sumu 2m na Snura 2.5m muna love 2m. Wengine 5 1m. 5m. Ukumbi tarumbeta matangazo na vingine 10m. 65.5m yiko mfukoni kwa siku moja akizunguka mikoa yote pata picha . Mjini msingi kiuno
Million 65 bado unabisha
hahah..Tahrir Squarepale pale ESCAPE one au wengine walikaa BIAFRA!?
Nasikia harufu ya Paaaaaaasiiiiiiiiiii.........na mie napitaaaaIla ukweli usemwe la Wema linamwagika kama sijui nini, tofauti na wanawake hao wengine...mchina balaaa linamajanga yake. Napita mie
Nasikia harufu ya Paaaaaaasiiiiiiiiiii.........na mie napitaaaa
Jamani hiyo pasi wengine hamuisikiiiii?....Pasi inaunguza jamani....
Jamani hiyo pasi wengine hamuisikiiiii?....Pasi inaunguza jamani....
Hivi mtu akipita akaangalia comment zangu na zako nani anaumia zaidi?....nakuletea nguo ufue si kwa povu hilo.... Pasi veeeepeeeeeeJikalie ulie na yako ya kulazimisha... Kama matako ya mchina yangekuwa yanakamilisha mwanamke basi tungeona....eeeeeh kaa na mchuma wako.
Pole yako kukazania upwupwu. Utajiju...mchina mchina tu. Ukweli unauna vya Mungu ninvyema kwani huoni utofauti humo kideoni na wengine...eti unatambia mchina nipishe mie hukooooooooooooo wahi. Unatetea kinachoonekana kwa kideo kabisa...unaumia kitu kipesonali hakuna jingine.... Uwiiii mbavu zangu
Ngoja mimi nikasome habari za Mume wa Zari.
Hivi mtu akipita akaangalia comment zangu na zako nani anaumia zaidi?....nakuletea nguo ufue si kwa povu hilo.... Pasi veeeepeeeeee
Hahahahahahahahahahah....endelea kutiririka hadi donge likuyeyuke hilo...mwanamke huwezi kuwa na chuki kwa mwenzio kiasi hicho bwana.....Mimi tena nijali komenti zangu zinachukuliwajwe....tafuta wengine sio mimi...hapa ni jf ni chochote kinamwagwa...oyaaaa niumie ndugu yangu huyo au miili ya wengine inanihusu nini...wewe ndio umeumia kuchuuuuuuuuuu.... Aaaaagh kumbe eeeeeh unakazania kuwa nini? Eeeeeh mchina mchina aaaaagh mbavu zangu. Haya piga vigelegele ....na maziwa sina ni pasi tuuuuu hata chuchwu hakuna ni njiti kabisa mimi yaani hata nyama sina ni mifupa tu. Tabu u bi umekujaa kwa kukazania.
Hahahahahahahahahahah....endelea kutiririka hadi donge likuyeyuke hilo...mwanamke huwezi kuwa na chuki kwa mwenzio kiasi hicho bwana.....
aiseee kuna watu sijuagi wema aliwafanyaga nn!Hahahahahahahahahahah....endelea kutiririka hadi donge likuyeyuke hilo...mwanamke huwezi kuwa na chuki kwa mwenzio kiasi hicho bwana.....
Ni katika kuyeyusha tu hilo donge lako....Huwezi kuwa juu kwa kumuweka mwengine chini. Thamani yako haipandi kwa kuhighlight madhaifu ya mtu mwingine.....Hahahaaaaa
Chuki haswa sababu ananilisha mchanga kwa mawe ninayokula kila siku na kunivisha majani yanayonisitiri mwili wangu wa ulio kama njiti...piga vigelegele kujifurahia na selebu umpendaye wewe bi
USIKU WA KISENGELI! HIVI VIGODOLO VIGODORO WATU KUTIKISA MATAKO SERIKALI ITAKATAZA LINI?
Ni katika kuyeyusha tu hilo donge lako....Huwezi kuwa juu kwa kumuweka mwengine chini. Thamani yako haipandi kwa kuhighlight madhaifu ya mtu mwingine.....