Video: Vijana kuweni serious. Kuna huyu Thobias Kahimba alianza kwa kuchoma CD kwa Tsh 100 hadi amekuwa Bilionea. Mnakwama wapi?

Video: Vijana kuweni serious. Kuna huyu Thobias Kahimba alianza kwa kuchoma CD kwa Tsh 100 hadi amekuwa Bilionea. Mnakwama wapi?

Dah nimepiga calculation hapa mpaka nimejidharau sana yani umri nilionao ukiniongezea miaka 40 kwa 5m kwa mwezi siwezi fikisha hata 2.5 Billion!! Aiseee kazi ipo
Sasa unahangaika kufikisha hizo bilion ili iweje?

Maisha halisi nikuweza kumudu mahitaji mhimu kama chakula, malazi, matibabu, elimu bila kusahau starehe .

UKIWEZA KUMUDU HAYO HUNA TOFAUTI NA Elon musk.
 
Sio kweli.

Hela inakupa access ya vitu ambavyo huwezi kupata kwa mazingira ya kawaida.
Taja hizo access, pia taja na tija ya hizo access.

Mihangaiko yote lengo ni kupata chakula kizuri, malazi mazuri, afya nzuri, elimu nzuri na starehe. KAMA KUNA KAZI NYINGINE YA PESA NIAMBIE.


KINGINE
Kama unamudu kutafuna kuku, kama unamakazi mazuri, kama una afya njema, watoto wanasoma pazuri, UNAUTOFAUTI GANI NA ELON MUSK?

Binadamu tumeumbiwa tamaa zisizo na sababu. Hata ungepewa dunia nzima bado hutaridhika utataka na sayari zingine.
 
Chochote kile huwa kina mwanzo, na ndani yake huwa kuna kucheza faulo ili kuweza kufanikiwa; hizi faulo alizozicheza hawezi kuzitaja, bali zitabaki kuwa siri.​
 
Taja hizo access, pia taja na tija ya hizo access.

Mihangaiko yote lengo ni kupata chakula kizuri, malazi mazuri, afya nzuri, elimu nzuri na starehe. KAMA KUNA KAZI NYINGINE YA PESA NIAMBIE.


KINGINE
Kama unamudu kutafuna kuku, kama unamakazi mazuri, kama una afya njema, watoto wanasoma pazuri, UNAUTOFAUTI GANI NA ELON MUSK?

Vita ikitkea hapa Tanzania sasa hivi kati ya wewe na MO Dewji nani atakuwa wa kwanza kuwa na ACESS ya kukimbia nchi?

Ndugu yako akipotea na ndugu wa Lugumi akipotea unadhani serikali itashughulika kumpata nani kwanza?
 
Back
Top Bottom