MorTimer
JF-Expert Member
- Dec 30, 2013
- 1,195
- 968
Mwanadada anayekuja kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii adai hawezi kutokea kwenye video yeyote ya Msanii wa Bongo yaani (video vixen) bila Shilingi Million 5 .Hii amekuwa akisikika kwenye baadhi ya interview za media mbalimbali.
Kutokana na muonekano wake unadhani anastahili hilo dau...!!!
Anaitwa Jacqueline obed
Kutokana na muonekano wake unadhani anastahili hilo dau...!!!
Anaitwa Jacqueline obed