Video vixen, PoshyQueen adai hawezi kutokea kwenye video ya msanii wa Bongo bila milioni 5

Tufanye basi biashara mkuu,
Hakuna mali za mitumba huko km Friji, Tv, electronics devices, nguo, viatu, mapazia, shuka nk.
Tunafungua duka kubwa la bidhaa mojawapo ya hizo.
Kodi ya Magu utaiweza?
 
Comments zinanikumbusha While at college. Last years huwa wanapeleka barua za kuomba kazi ktkt kampuni.
Jamaa akaitwa ktk interview ktk swali LA tukulipe shi ngapi jamaa akasema mil 2. Interviewer akamwambia tutakulipa mil 4. Jamaa akasema acha utani. Interviewer akamwambia wewe ndo umeanza utani hahaasa
 
Huyu mtoto nimemfahamu kabla hajaanza haya matangazo, I know how classy she is.

Ila nina wasiwasi kama atamaintain, nimemwona recently anajitangaza sana sana.

She is most likely going the path of other girls calling themselves socialites.
Elimu yake ikoje?
 
Tufanye basi biashara mkuu,
Hakuna mali za mitumba huko km Friji, Tv, electronics devices, nguo, viatu, mapazia, shuka nk.
Tunafungua duka kubwa la bidhaa mojawapo ya hizo.
Mangi ktk ubora wako
 
Anafanya Insurance Degree, yuko mwaka wa tatu (kuna mdau kaandika hii kitu).

Dogo yuko evening class, I am not sure how good she is in class, but she is so informed with some issues.
Vitu gani yuko informed navyo mkuu...kama vile unamfahamu kiundani. Vip SA anafanya biashara gani kule ? Nimeona hiyo picha yake
 
Acha tujikite viwanja vikubwa tu.

Mtu unaweza kusema urudi Bongo, hata ukifanya biashara bei ya kazi yako unaweza kutaja ukaonekana unakufuru. Ukiamua kufanya kazi, mshahara unaotakaunaweza kuripotiwa kwa Magufuli.

Acha tujikite viwanja vikubwa tu.
kwa wachovu labda kuna wabongo wanaweza kununua hata hiyo kampuni unayofanyia kazi
 
Kwenye mitumba kodi si kubwa sana mkuu.
Kwasababu thaman ya hizo bidhaa ni ndogo sana.
Kama upo tayari tuongee PM mkuu
Jana nilikuwa naangalia FB page moja ya rafiki yangu mmoja Mtanzania, anaishi US. Kapiga picha nguo nyingi sana, anajiuliza anataka kuzipunguza hajui azipeleke wapi.

Nikaona inawezekana akaonekana show off, lakini hiki kitu kipo. Inawezekana kuna wengi wako na hili jambo.

Ila inabidi kukusanya za kutosha kabla ya kutuma.
 
Yupo fresh ila anakaa kwa yule anaejiita tuerny...ni namba ingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…