Video vixen, PoshyQueen adai hawezi kutokea kwenye video ya msanii wa Bongo bila milioni 5

Video vixen, PoshyQueen adai hawezi kutokea kwenye video ya msanii wa Bongo bila milioni 5

Huyu mtoto anaish hostel za Didiz pale posta nyuma ya NMB bank. Namna anavyovaa yaan anasikitisha maana anapenda sana kuteka attention za watu. Kuna siku alivaa nguo mpaka mwenyew akaona aibu kutoka kulifuata gari lilipo. Ilibid avizie watu walivyokaa ndio akachomoka kukimbilia kwenye gar.

True.

Ana ndugu yake yuko Chuo cha Diplomasia, Kurasini yuko super sana, sema yeye hauzi K kama huyu dogo.
 
Daaaah mpaka hilo sanamu la madiba limedindisha hapana chezea
 
Mwanadada anayekuja kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii adai hawezi kutokea kwenye video yeyote ya Msanii wa Bongo yaani (video vixen) bila Shilingi Million 5 .Hii amekuwa akisikika kwenye baadhi ya interview za media mbalimbali.

Kutokana na muonekano wake unadhani anastahili hilo dau...!!!

View attachment 789791
View attachment 789809

Anaitwa Jacqueline obed
Kama kuna ka mchina.
 
Kumbe ni Vixen? Namuona tu Instagram akijibedua kuonyesha makalio tu.
POSHYQUEEEN.jpg
 
Acha tujikite viwanja vikubwa tu.

Mtu unaweza kusema urudi Bongo, hata ukifanya biashara bei ya kazi yako unaweza kutaja ukaonekana unakufuru. Ukiamua kufanya kazi, mshahara unaotakaunaweza kuripotiwa kwa Magufuli.

Acha tujikite viwanja vikubwa tu.
Tufanye basi biashara mkuu,
Hakuna mali za mitumba huko km Friji, Tv, electronics devices, nguo, viatu, mapazia, shuka nk.
Tunafungua duka kubwa la bidhaa mojawapo ya hizo.
 
Back
Top Bottom