Jamani hivi huyu video queen wa ka Kayumba kwenye wimbo "Mazoea" huwa najiuliza huu urembo wake au nini? Maana yaani ameingia kwenye vigezo vyote vya mwanamke mrembo wa kuoa. She is the most beautiful living lady ever seen.
Mwenye mawasilano yake ani PM. Nikipata namba yake au mawasiliano yake mkopo unanihusu, if sbe will need some huge amount of money.
Pia nimejizuia kuiangalia ile video kwani nahisi inaniletea psychological trauma, japo wimbo ni mzuri. Hii dunia kuna watu wameumbwa bwana,sitajali kama ule weupe ni wa mkorogo, shape tu nikiburudisho tosha, kumuangalia tu ni burudisho la nafsi.
Maneno mengi .... Mawasilano tafadhali!
Mwenye mawasilano yake ani PM. Nikipata namba yake au mawasiliano yake mkopo unanihusu, if sbe will need some huge amount of money.
Pia nimejizuia kuiangalia ile video kwani nahisi inaniletea psychological trauma, japo wimbo ni mzuri. Hii dunia kuna watu wameumbwa bwana,sitajali kama ule weupe ni wa mkorogo, shape tu nikiburudisho tosha, kumuangalia tu ni burudisho la nafsi.
Maneno mengi .... Mawasilano tafadhali!