Sasa kati ya Tulia na Halima nani msomi wa kukariri?Huyu tulia ni wale wasomi ya kukariri vitu ila sio intelligent na hayupo smart..anamabishano ya kiuwanafunzi sana
ongea taratibu kuna wanafunzi wake hapaHuyu tulia ni wale wasomi ya kukariri vitu ila sio intelligent na hayupo smart..anamabishano ya kiuwanafunzi sana
Upinzani wa kukulupuka usio na facts..Sasa kati ya Tulia na Halima nani msomi wa kukariri?
Huyo halima anaongea mambo ambayo anaulizwa yapo wapi kwenye mkataba anashindwa hata kuyaonesha ndo unamfananisha na Tulia?
Sidhani kama tulia ni msomiHuyu tulia ni wale wasomi ya kukariri vitu ila sio intelligent na hayupo smart..anamabishano ya kiuwanafunzi sana
Ccm oyeeeeeTulia kapwaya mno.
Yaani katepeta hadi aibu.
The advantage of incumbent party?Mwenye picha ya Mmiliki wa DP world aniwekee …maana kafanikiwa kupata Chawa wazito wazito
ila safari hii Steve Nyerere itakuwa karukwa mgao wa Muarabu
na imagine angekuwepo lembebez super Mtindizi angetunanga sana sie wa Uswekeni in America spirit
Spika anaulizia details ambazo haziwezi kuwemo katika Agreement. Ni kama vile Halima aseme kuwa DPW itashughulikia meli za makontena halafu aulizwe wapi katika mkataba zimetajwa meli za makontena. Agreement inasema kuwa katika awamu ya pili bandari zilizopo kwenye maziwa zitahusika. Halima anataja bandari zilizomo katika maziwa lakini wakili msomi Profesa anataka aonyeshwe Mwanza imetajwa wapi katika IGA? Hicho ndicho cha kusifia?Sasa kati ya Tulia na Halima nani msomi wa kukariri?
Huyo halima anaongea mambo ambayo anaulizwa yapo wapi kwenye mkataba anashindwa hata kuyaonesha ndo unamfananisha na Tulia?
Halima mmoja tu kila mtu kamsimamia ili asiwaharibie kitumbua.
Msaliti huyo yuko Bungeni kilaghai.Halima tumsamehe dhambi ya uasi kwa Leo. Akisimama Mpina niamshe niko pale