econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Leo umetambua akina Halima mdee ni wapinzani. Huyo Tulia kabakia kuhoji vimaswali uchwara kisa Halima anaongea. Kwanza anaonesha ana upande na hataki mtu abishe. Hongera halima kwa leo Rudi nyumbani.Upinzani wa kukulupuka usio na facts..