Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Anaupiga mwingi.Kwa kweli mama ametuaibisha sana, alishindwa hata kukemea hili?
uyu shekh anachagiza Mwongoooo 🤣Hii imenishtua sana. Huyu Mtanzania aliyekuwa anajichukulia sheria Mkononi ametuaibisha sana. Alishindwa kuvumilia mpaka arudi kwao?
Nawaza lengo la kuweka camera vyooni ni nini?
View attachment 2997411
Anaupiga mwingi.
Saudi inaendeshwa kidiniMh.... hiyo si kuingilia faragha ya mtu?!
Huyu mzee anachangamsha genge tu.Hii imenishtua sana. Huyu Mtanzania aliyekuwa anajichukulia sheria Mkononi ametuaibisha sana. Alishindwa kuvumilia mpaka arudi kwao?
Nawaza lengo la kuweka camera vyooni ni nini?
View attachment 2997411
Dini ya kuchungulia mtu akinya na kukojoa?Saudi inaendeshwa kidini
ℍ𝕦𝕪𝕠 𝕟𝕚 𝕟𝕕𝕦𝕘𝕦 𝕜𝕒𝕥𝕚𝕜𝕒 𝕚𝕞𝕒𝕟𝕚Aidha ni mnafikii huyu jamaa au anachekesha tu
Kuna watu wanapenda ujinga sana, jitu zima linaongea hayo
Saudia nimeishi tena zipo sheria kabisa katika sheria zao ni marufuku kuweka surveillance sehemu kama hizo hata mahospitali wanapomkagua mgonjwa na hata sehemu za kubadli nguo ni marufuku kabisa tena ukikamatwa unafungwa
Aje hapa anibishie
Yaani eti mastabate anapigiwa kelele kaongeza na kipaza sauti kabisa 😄 🤣 liongo hilo
Kwanza haitakiwi kwa sababu hiyo ni privacy ya mtu wamefaya kosa kubwa sana sio vizuriHii imenishtua sana. Huyu Mtanzania aliyekuwa anajichukulia sheria Mkononi ametuaibisha sana. Alishindwa kuvumilia mpaka arudi kwao?
Nawaza lengo la kuweka camera vyooni ni nini?
View attachment 2997411
Mm nipo na wwAidha ni mnafikii huyu jamaa au anachekesha tu
Kuna watu wanapenda ujinga sana, jitu zima linaongea hayo
Saudia nimeishi tena zipo sheria kabisa katika sheria zao ni marufuku kuweka surveillance sehemu kama hizo hata mahospitali wanapomkagua mgonjwa na hata sehemu za kubadli nguo ni marufuku kabisa tena ukikamatwa unafungwa
Aje hapa anibishie
Yaani eti mastabate anapigiwa kelele kaongeza na kipaza sauti kabisa 😄 🤣 liongo hilo