Vyombo gani hziAmeshakamatwa, yupo chini ya vyombo vya usalama.
Saka @joemuchiri instagram uangalie video yake ya DarasaWakenya mnatuwaza kila saa khaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Niliiona jamaa yupo na kesi ya kujibu polisi....video imezunguka sana instaSaka @joemuchiri instagram uangalie video yake ya Darasa
Polisi mkuu we unajua chombo ni bakuli tu?Vyombo gani hzi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii kiswahili hapana
Du umepiga kichwani kabisa haamki tena.Dunia kijiji, usianike uchi wako maana ndani ya sekunde moja tutakusoma tu. Leo hii tunajadili ya Trump sembuse wewe.