joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
MY TAKE: Kenya huenda yakawakuta yanayotokea huko Sudan. Wazo la kuigawa Kenya ni wazo linalohitaji mjadala kwa Sasa, sio jambo la kupuuzwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MY TAKE: Kenya huenda yakawakuta yanayotokea huko Sudan. Wazo la kuigawa Kenya ni wazo linalohitaji mjadala kwa Sasa, sio jambo la kupuuzwa
Hii toka uchaguzi uliopita kati Uhuruto na Raila,walianzusha mpaka na bendera Yao mkuu. Ila this time hii haitapoak
Umekua ukiomba haya tangu ujoin hili jukwaa. Ni lini haya unayotuombea yatatukuta?
MY TAKE: Kenya huenda yakawakuta yanayotokea huko Sudan. Wazo la kuigawa Kenya ni wazo linalohitaji mjadala kwa Sasa, sio jambo la kupuuzwa.
Kama ambavyo nilikua nikiwaambia kuhusu SGR kuwa ni mradi usiokua na faida kwa Kenya tangu hiyo reli ilipokua inajengwa, Leo hii yametokea, reli haitengenezi faida yoyote na ni mzigo kwa walipa Kodi, Leo hii 60% ya makusanyo yenu yanakwenda kulipa madeni, sehemu kubwa ya deni ni SGR, wakati ule mlikua mkibisha, hili nalo mnabisha, ninyi hamtaki kujifunza.Umekua ukiomba haya tangu ujoin hili jukwaa. Ni lini haya unayotuombea yatatukuta?
Kama Ruto amechachagua watu wa kabila lake kwa almost 70 ya post na zilizobaki kwa wakikuyu ukweli ni kwamba kenya ni nchi moja ya ovyo sana
MY TAKE: Kenya huenda yakawakuta yanayotokea huko Sudan. Wazo la kuigawa Kenya ni wazo linalohitaji mjadala kwa Sasa, sio jambo la kupuuzwa.