Video: Wakenya waionea huruma Tanzania, jameni tuna mengi ya kushukuru

Video: Wakenya waionea huruma Tanzania, jameni tuna mengi ya kushukuru

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Ni dhahiri kwetu hapa Kenya tuna changamoto zetu, hamna taifa lisilokuwa na kasoro, pia tuna migawanyiko yetu na mara nyingi huwa tunakubali kutokubaliana, ila kwa wenzetu Tanzania ukifuatilia siasa zao, unajiuliza mbona waharibu hela nyingi hivyo kufanya kampeni za maigizo zisizokua na umuhimu wowote kidemokrasia.

Watu wanaambiwa bila kufichwa wakichagua wabunge wa upinzani basi wasahau maendeleo, wasiagize maji wala nini, wengine wanapigwa mikwara kwa kilugha, ishara za ukabila uliopitiliza.

Siasa za Tz hunikumbusha ilivyokua wakati tukiwa watoto mtaani, mwenye mpira ndiye alikua anaamua magoli yawe vipi, akina nani wawe kwenye timu yake, na mchezo utachezwa kwa muda gani, akichoka anautia kwapani na kwenda kwao nyumbani.

Jameni mashujaa tuliopambana mpaka tukapata katiba mpya tutembee kifua mbele siku zote, tutawaachia watoto wetu urithi wa maana sana, inawezekana vizazi vya kesho visije kujua jitihada na mateso tuliopitia hadi kuipata hii katiba, lakini mwisho wa siku kama mzazi, unaachia wanao urithi mzuri bila kujali watautumia vipi.

Video hii hapa... https://www.jamiiforums.com/data/attachment-files/2020/10/2540175_ZbtXBdFgQUWJVZsD.mp4
 
Weka link ya youtube tuone comment za wadau.

Also kabla ya kurusha mawe check hii

medium_REdI9CcRgR6LqFL9ZbyPqgV1VskUXONRRJO8YPphN-U.jpg
 
Weka link ya youtube tuone comment za wadau.
Also kabla ya kurusha mawe check hii
View attachment 1591036

Comments za watu hazitawasaidia kwa hiyo hali yenu, kuna vizazi vya hivi majuzi hapa Kenya vinafurahia matunda ya huu uhuru bila kujua gharama yake, ilipaswa wapate fursa ya kuitembelea Tz hususan kipindi hiki cha uchaguzi, watatia akili.
 
Comments za watu hazitawasaidia kwa hiyo hali yenu, kuna vizazi vya hivi majuzi hapa Kenya vinafurahia matunda ya huu uhuru bila kujua gharama yake, ilipaswa wapate fursa ya kuitembelea Tz hususan kipindi hiki cha uchaguzi, watatia akili.
So what!? Tunahitaji kusaidiwa!?
By the way nimekitazama kipindi hicho.
Nakusihi achana na utoto, umepitwa na wakati. We are serious developing our country.

Halafu hakuna kitu kama hicho.

 
Mpuuzi aionee Huruma Tanzania Ujinga mwingine kama huu utaupata Kenya pekee

Endeleeni Kupiga ngoma na kuyakata wenyewe
 
So what!? Tunahitaji kusaidiwa!?
By the way nimekitazama kipindi hicho.
Nakusihi achana na utoto, umepitwa na wakati. We are serious developing our country.

Halafu hakuna kitu kama hicho.



Hatuwezi kuwasaidia zaidi ya kuwasikitikia na kuwaombea, labda mabeberu ndio wawapigie makelele maana wale wana jeuri ya kusitisha misaada yao kwenu ili kulazimisha mrekebishe.

Kidogo mabeberu wakiongea huwa mnakimbilia kwenye vyombo vya habari ili kujitetea.
 
Hatuwezi kuwasaidia zaidi ya kuwasikitikia na kuwaombea, labda mabeberu ndio wawapigie makelele maana wale wana jeuri ya kusitisha misaada yao kwenu ili kulazimisha mrekebishe.

Kidogo mabeberu wakiongea huwa mnakimbilia kwenye vyombo vya habari ili kujitetea.
Lengo lenu ni nini hasa!?
Tanzania imepambana na kila aina ya ujinga.
Siasa tumeanza miaka mingi zaidi yenu.
We know what we are doing.
Nyie nchi yenu ipo chini ya elite society.
 
.they are talking of democracy eti vyombo vya habari vimeminywa...which democracy do you want?! Kenya kuna democracy gani? Democracy of the few elites who rule the country mnadhani ndio democracy?! The land of Kenya inamilikiwa na watu wachache while other Kenyans are languishing in poverty.

familia moja hapo Kenya tena ya kiongozi mmoja maarufu inamiliki ardhi kwa maelfu na maelfu ya ekari wakati wakenya wengine baadhi yao hata square meter ya ardhi hawana...yaani familia moja inamiliki karibu 1/7 ya ardhi yote ya Kenya halafu mnapiga kelele ya demokrasia. Ni Nani wa kuonewa huruma Kama siyo ninyi wakenya ..halafu mnakopa hela mnazoita za Corona na zinaliwa na watu wachache huku maelfu kwa maelfu ya wakenya wakiwa wamelazimishwa kujifungia ndani na wasifanye kazi na hivyo kuteseka kwa njaa..hiyo ndiyo demokrasia?!

Kama tume yenu iko huru Sasa vurugu zenu za Nini wakati was uchaguzi?! Sasa mnakatana mapanga ya Nini Kama tume yenu iko huru? Tanzania sisi we have our own system which fits our way of running things...hatutaki mgawanyiko wa jamii...hiki ni kipi di Cha uchaguzi msilete za kuleta hapa...msiwachochee watanzania wajaribu kuasi mamlaka..we know kuna wakenya wanatuonea wivu...they should mind their own business...nyie ndio watu wa kuonewa huruma siyo Tanzania...you are talking of liberal democracy do you think it fits in Africa in each and every aspect?!
 
These guys are so stupid, idiots and uncivilized...they are talking of democracy eti vyombo vya habari vimeminywa...which democracy do you want?! Kenya kuna democracy gani? Democracy of the few elites who rule the country mnadhani ndio democracy?! The land of Kenya inamilikiwa na watu wachache while other Kenyans are languishing in poverty...familia moja hapo Kenya tena ya kiongozi mmoja maarufu inamiliki ardhi kwa maelfu na maelfu ya ekari wakati wakenya wengine baadhi yao hata square meter ya ardhi hawana...yaani familia moja inamiliki karibu 1/7 ya ardhi yote ya Kenya halafu mnapiga kelele ya demokrasia....ni Nani wa kuonewa huruma Kama siyo ninyi wakenya wajinga...halafu mnakopa hela mnazoita za Corona na zinaliwa na watu wachache huku maelfu kwa maelfu ya wakenya wakiwa wamelazimishwa kujifungia ndani na wasifanye kazi na hivyo kuteseka kwa njaa..hiyo ndiyo demokrasia?! Stupid and arrogant Kenyans...very stupid indeed...Kama tume yenu iko huru Sasa vurugu zenu za Nini wakati was uchaguzi?! Sasa mnakatana mapanga ya Nini Kama tume yenu iko huru? Tanzania sisi we have our own system which fits our way of running things...hatutaki mgawanyiko wa jamii...hiki ni kipi di Cha uchaguzi msilete za kuleta hapa...msiwachochee watanzania wajaribu kuasi mamlaka..we know kuna wakenya washenzi wanatuonea wivu...they should mind their own business...nyie ndio watu wa kuonewa huruma siyo Tanzania...you are talking of liberal democracy do you think it fits in Africa in each and every aspect?! Stupid...
Umewasimanga kweli
Nadhani hawatarudia ujinga wao tena maana ulivyo andika kama vile nakuona mishipa ilivyokujaa usoni😂😂
Watatuelewa tu hapa kenge Wakunya
 
Kwa hiyo hapo ndiyo ameongea nini?

What a non sense, najuta kuharibu muda wangu kuandalia such a silly video.
 
Hamna haja kweli ya kupoteza hela zote hizo kwenye haya maigizo na usanii usanii. Magufuli angesema tu kwamba yeye ndio 'president for life' kisha hela za kampeni/uchaguzi azitumie kununua 'bombadia'.
 
Comments za watu hazitawasaidia kwa hiyo hali yenu, kuna vizazi vya hivi majuzi hapa Kenya vinafurahia matunda ya huu uhuru bila kujua gharama yake, ilipaswa wapate fursa ya kuitembelea Tz hususan kipindi hiki cha uchaguzi, watatia akili.

For second time I doubt your cognitive capacity, the first time I was with Saint Ivuga. Saa hizi niko mwenyewe. Kwa hiyo kile kitendo cha kupiga watu mabomu kanisani na kumzuia Ruto mechanically asigombee urais ni kwa mujibu wa katiba. Au inavyo favor kikuyu ndiyo inaonekana katiba bora?
 
They are talking of democracy eti vyombo vya habari vimeminywa...which democracy do you want?! Kenya kuna democracy gani? Democracy of the few elites who rule the country mnadhani ndio democracy?! The land of Kenya inamilikiwa na watu wachache while other Kenyans are languishing in poverty...familia moja hapo Kenya tena ya kiongozi mmoja maarufu inamiliki ardhi kwa maelfu na maelfu ya ekari wakati wakenya wengine baadhi yao hata square meter ya ardhi hawana.

Yaani familia moja inamiliki karibu 1/7 ya ardhi yote ya Kenya halafu mnapiga kelele ya demokrasia....ni Nani wa kuonewa huruma Kama siyo ninyi wakenya wajinga...halafu mnakopa hela mnazoita za Corona na zinaliwa na watu wachache huku maelfu kwa maelfu ya wakenya wakiwa wamelazimishwa kujifungia ndani na wasifanye kazi na hivyo kuteseka kwa njaa..hiyo ndiyo demokrasia?!

Kama tume yenu iko huru Sasa vurugu zenu za Nini wakati was uchaguzi?! Sasa mnakatana mapanga ya Nini Kama tume yenu iko huru? Tanzania sisi we have our own system which fits our way of running things...hatutaki mgawanyiko wa jamii...hiki ni kipi di Cha uchaguzi msilete za kuleta hapa...msiwachochee watanzania wajaribu kuasi mamlaka..we know kuna wakenyawanatuonea wivu...they should mind their own business...nyie ndio watu wa kuonewa huruma siyo Tanzania...you are talking of liberal democracy do you think it fits in Africa in each and every aspect?!

Acha kulia lia the truth must be told Tanzania hatuna uchaguzi ni janja tu hapa tunapoteza zaidi ya billion 300 kwa uchaguzi mfu.
 
Hamna haja kweli ya kupoteza hela zote hizo kwenye haya maigizo na usanii usanii. Magufuli angesema tu kwamba yeye ndio 'president for life' kisha hela za kampeni/uchaguzi azitumie kununua 'bombadia'.

Sasa hivi kampeni za CCM zimegeuzwa ushindani baina ya Diamond na Ali Kiba, hakuna kuuza sera maana kila wasanii wakikamilisha kutumbuiza, wananchi wanaanza kuondoka, kwamba hamna jipya wanalosubiri la maana, CCM itarudi madarakani na hali itabaki ile ile.
 
Back
Top Bottom