Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Hasira hasara
Walimu wawili walionekana wakigombana katika chumba cha ofisi ya wafanyakazi (Walimu) katika Shule ya Ibru College, Agbarha-Otor, Jimbo la Delta. Video iliyoachiwa mtandaoni inaonyesha walimu hao wakipigana huku walimu wengine wakipiga kelele kwa hofu na kupiga simu za dharura kupata usaidizi.
Wanafunzi na wafanyakazi wengine wanaonekana wakitazama kupitia dirisha ili kushuhudia ugomvi huo. Inaripotiwa kuwa tukio hilo lilitokea Jumatano, Machi 6, 2025.
Time will tell..
Walimu wawili walionekana wakigombana katika chumba cha ofisi ya wafanyakazi (Walimu) katika Shule ya Ibru College, Agbarha-Otor, Jimbo la Delta. Video iliyoachiwa mtandaoni inaonyesha walimu hao wakipigana huku walimu wengine wakipiga kelele kwa hofu na kupiga simu za dharura kupata usaidizi.
Wanafunzi na wafanyakazi wengine wanaonekana wakitazama kupitia dirisha ili kushuhudia ugomvi huo. Inaripotiwa kuwa tukio hilo lilitokea Jumatano, Machi 6, 2025.
🤣🤣 hapo sakafuni ilitakiwa japo tuone meno ya mbele angalau 2Mkuu unazijua ngumi wewe..? watu wameshikana tu hao unasema wamepigana! ngoja sikumoja nitatoa lipicha mjongeo langu nikiwaonyesha namna ya kupigana!
Labda anaogopa alivutwa tai = RIPHapo jasiri mwalimu wa kike alienda kuachananisha wasipigane.
Kuna dume kitambi lipo pembeni pale linachonga ngenga tu.
Sema ugomvi wa mume na mke kamwe siendi kuachanisha, siingilii naacha wamalizane wenyewe.
Hawa waliorusha video hii ni wapumbavu. Hawajui kuwa hii inaweza kugharimu ajira zao (waliopigana) kwa mujibu wa taratibu. Ingekuwa busara kama wangewaamua kuliko kufanya hivi.
Walimu wawili walionekana wakigombana katika chumba cha ofisi ya wafanyakazi (Walimu) katika Shule ya Ibru College, Agbarha-Otor, Jimbo la Delta. Video iliyoachiwa mtandaoni inaonyesha walimu hao wakipigana huku walimu wengine wakipiga kelele kwa hofu na kupiga simu za dharura kupata usaidizi.
Wanafunzi na wafanyakazi wengine wanaonekana wakitazama kupitia dirisha ili kushuhudia ugomvi huo. Inaripotiwa kuwa tukio hilo lilitokea Jumatano, Machi 5, 2025.