VIDEO: Walimu wawili wazichapa makavu Ofisini mbele ya Walimu na wanafunzi

VIDEO: Walimu wawili wazichapa makavu Ofisini mbele ya Walimu na wanafunzi


Walimu wawili walionekana wakigombana katika chumba cha ofisi ya wafanyakazi (Walimu) katika Shule ya Ibru College, Agbarha-Otor, Jimbo la Delta. Video iliyoachiwa mtandaoni inaonyesha walimu hao wakipigana huku walimu wengine wakipiga kelele kwa hofu na kupiga simu za dharura kupata usaidizi.

Wanafunzi na wafanyakazi wengine wanaonekana wakitazama kupitia dirisha ili kushuhudia ugomvi huo. Inaripotiwa kuwa tukio hilo lilitokea Jumatano, Machi 5, 2025.

Ina maana mpaka mwanamke anaenda kuachanisha ugomvi kwamba wanaume hawapo au vipi
 

Walimu wawili walionekana wakigombana katika chumba cha ofisi ya wafanyakazi (Walimu) katika Shule ya Ibru College, Agbarha-Otor, Jimbo la Delta. Video iliyoachiwa mtandaoni inaonyesha walimu hao wakipigana huku walimu wengine wakipiga kelele kwa hofu na kupiga simu za dharura kupata usaidizi.

Wanafunzi na wafanyakazi wengine wanaonekana wakitazama kupitia dirisha ili kushuhudia ugomvi huo. Inaripotiwa kuwa tukio hilo lilitokea Jumatano, Machi 5, 2025.

Nchi gani?
 
Niwe mkweli tu, napenda sana ngumi za walimu, na ngumi za wanawake(hawa huwa wanavuana nguo).
 

Walimu wawili walionekana wakigombana katika chumba cha ofisi ya wafanyakazi (Walimu) katika Shule ya Ibru College, Agbarha-Otor, Jimbo la Delta, Nigeria. Video iliyoachiwa mtandaoni inaonyesha walimu hao wakipigana huku walimu wengine wakipiga kelele kwa hofu na kupiga simu za dharura kupata usaidizi.

Wanafunzi na wafanyakazi wengine wanaonekana wakitazama kupitia dirisha ili kushuhudia ugomvi huo. Inaripotiwa kuwa tukio hilo lilitokea Jumatano, Machi 5, 2025.

Kwa hii mishahara ya CCM lazima wapate changamoto ya akili
 
Watu wanastress kama mtu kanywa petroli moto kidogo tu analipuka. Unakuta anamadeni anapokea 5K KWA mwezi.
Alafu yule Red kama ni mwalimu wa hesabu ila hesabu za kukamata viungo vya uzazi vya mpinzani wake zimegoma.

Hapo wafukuzwe kazi tu wakatafute maisha kwingine. Ishakuwa doa KWA shule.
Mwishoni Dada ndiyo naona anawaamulia! Aibu.
 

Walimu wawili walionekana wakigombana katika chumba cha ofisi ya wafanyakazi (Walimu) katika Shule ya Ibru College, Agbarha-Otor, Jimbo la Delta, Nigeria. Video iliyoachiwa mtandaoni inaonyesha walimu hao wakipigana huku walimu wengine wakipiga kelele kwa hofu na kupiga simu za dharura kupata usaidizi.

Wanafunzi na wafanyakazi wengine wanaonekana wakitazama kupitia dirisha ili kushuhudia ugomvi huo. Inaripotiwa kuwa tukio hilo lilitokea Jumatano, Machi 5, 2025.

Mwana mama ndo anawahamulia
 
Je, huu ni uungwana? hahaha
Huu sio uungwana bwana "in Wambura Mtani's voice"
 
Back
Top Bottom