VIDEO: Walimu wawili wazichapa makavu Ofisini mbele ya Walimu na wanafunzi

Ina maana mpaka mwanamke anaenda kuachanisha ugomvi kwamba wanaume hawapo au vipi
 
Nchi gani?
 
Niwe mkweli tu, napenda sana ngumi za walimu, na ngumi za wanawake(hawa huwa wanavuana nguo).
 
Kwa hii mishahara ya CCM lazima wapate changamoto ya akili
 
Mwishoni Dada ndiyo naona anawaamulia! Aibu.
 
Mwana mama ndo anawahamulia
 
Je, huu ni uungwana? hahaha
Huu sio uungwana bwana "in Wambura Mtani's voice"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…