Kwa wasioelewa mgogoro huko Ngorongoro na Loliondo.
Ni hivi , Huko Loliondo ndio kuna mwarabu(OBC) anayetaka ardhi ya wananchi, nguvu na ubabe unatumika kuwaondoa watake wasitake.
Eneo la Kilometa za mraba 1500 huko Loliondo ni eneo ambalo yule mwarabu wa OBC analitaka , na ndio figisufigisu zote hizi za kufukuza wananchi ili kumpa huyu mwarabu eneo afanye anavyotaka. Huyu mwarabu ndio Kigwangwallah alipokuwa waziri alisema alitaka kumhonga dola laki moja akakataa
Na kuhusu Ngorongoro, huko ndio wamasai wamejengewa nyumba chache Handeni ili kuwahadaa watanzania kuwa serikali inawajali wamasai kumbe bosheni. Vijumba visivyofika 1000 vingewatoshaje wamasai Laki moja?
Baadhi ya video za wananchi wakiondoka kwenye eneo wanalotaka kumpa mwarabu wa OBC hizi hapa:
Wamasai lazima wahame Ngorongoro. Tufike mahali tutofautishe binadamu na wanyama. Ukweli ni kwamba Ole Sendeka ndiye KUWADI wa wafanyabiashara wa Kenya wanaofugia ng'ombe zao ndani ya Ngorongoro. Maelfu ya ng'ombe waliopo pale siyo ya Wamasai wa Tanzania bali Wamasai wa Tanzania ni vijakazi tu wanaolipwa ujira.
Hiyo Sheria inawanufaisha wakenya na siyo watanzania
Mleta mada ni mmoja wa wale wana harakati uchwara walioamua kuuza utu wao kwa sababu ya njaa zao. Mara nyingi hujifanyaga ustaz, kumbe mnafiki tu aliekubali kushikiwa akili na wajanja wachache kutoka Kenya kwa faida ya hao hao wakenya.
Mleta ni mmoja wa wale wana harakati uchwara walioamua kuuza utu wao kwa sababu ya njaa zao. Mara nyingi hujifanyaga ustaz, kumbe mnafiki tu aliekubali kushikiwa akili na wajanja wachache kutoka Kenya kwa faida ya hao hao wakenya.
Wamasai ni sehemu ya vivutio Kama wanyama, wangeachwa ili wazungu waje wawe wanawatalii hawa viumbe wenye uwezo wa kuruka mita 10 juu wakiwa wamefunga mikono
Wamasai ni sehemu ya vivutio Kama wanyama, wangeachwa ili wazungu waje wawe wanawatalii hawa viumbe wenye uwezo wa kuruka mita 10 juu wakiwa wamefunga mikono
Kwa nini wanaharakati wanafurahia binadamu wenzetu kuishi kama wanyama? Mwanadamu amepita stage nyingi za maendeleo kuanzia
Dryopithecus,
Ramapithecus,
Australopithecus,
Homo Erectus,
Homo Sapiens na hatimaye
Civilization
Kwa nini tunapenda watanzania wenzetu wabakie kama Sanaa ya kutazamwa na watalii? Wamasai watoke tu Ngorongoro
Kwa hiyo mnafurahia wamasai wanavyotembea matako wazi bila chupi?
Ni aibu kwa kijana wa kitanzania kushikiwa akili na wamasai wa kenya ambao wengi wao hawakwenda shule, na wengine hata kuoga hawajui.
Safari hii manyang'au wote na mazuzu yao humu mitandaoni watafute ardhi nyingine ya kwenda kulishia mifugo yao. Kenya pia inapeana mpaka na uganda kwahiyo wajaribu kuhamishia mifugo huko.
Tanzania sio shamba la bibi anymore. Najua wakisoma hizi thread zenu wanajipa matumaini kuwa bado wana kundi kubwa la mazuzu mitandaoni wanaopigania masilahi yao na ya mabwanyenye wao.
Ila nakuhakikishia ww kibaraka na hao wanaowatuma kuwa safari hii hakuna jipya ambalo mtalifanya au kuliongea ili sisi tuwaelewe. Never again.
Ni aibu kwa kijana wa kitanzania kushikiwa akili na wamasai wa kenya ambao wengi wao hawakwenda shule, na wengine hata kuoga hawajui. Safari hii manyang'au wote na mazuzu yao humu mitandaoni watafute ardhi nyingine ya kwenda kulishia mifugo yao. Kenya pia inapeana mpaka na uganda kwahiyo wajaribu kuhamishia mifugo huko. Tanzania sio shamba la bibi anymore.
Kama kuna Jeshi la kuwafukuza wamasai Loliondo hilo jeshi kwa nini lisingetumika kuwazuia Wakenya wasilete ng'ombe Loliondo.?
Tafuta propaganda nyingine hiyo ya kuhusisha Wakenya imeshabuma, na tunajua mmeambiwa na waliowatuma muisemeseme sana mitandaoni hiyo propaganda kuhusu Kenya ili kuwahadaa wananchi. Ila mmefeli, tafuteni propaganda nyingine
Wamasai ni sehemu ya vivutio Kama wanyama, wangeachwa ili wazungu waje wawe wanawatalii hawa viumbe wenye uwezo wa kuruka mita 10 juu wakiwa wamefunga mikono
Hata huko walipopelekwa ni sehem ya Tanzania. Kwahiyo kama na wao ni sehem ya vivutio basi watalii watawafuata huko huko walipo kuona vivutio vyao. Ila hatuwezi kubali wakenya waendelee kutumia ardhi yetu kupitia mgongo wa hawa wamasai wa mchongo. Never.
Kama kuna Jeshi la kuwafukuza wamasai Loliondo hilo jeshi kwa nini lisingetumika kuwazuia Wakenya wasilete ng'ombe Loliondo.?
Tafuta propaganda nyingine hiyo ya kuhusisha Wakenya imeshabuma, na tunajua mmeambiwa na waliowatuma muisemeseme sana mitandaoni hiyo propaganda kuhusu Kenya ili kuwahadaa wananchi. Ila mmefeli, tafuteni propaganda nyingine
Hizi thread mnazoandikiwa na wakenya ili mzilete humu ndo zimebuma. Wewe hauoni hakuna hata waliojishughulisha ku Like uzi wako. Ukweli ni kwamb hakuna mtanzania halisi na mwenye akili asiejua kuwa nyie mnatumiwa.
Wamasai ni sehemu ya vivutio Kama wanyama, wangeachwa ili wazungu waje wawe wanawatalii hawa viumbe wenye uwezo wa kuruka mita 10 juu wakiwa wamefunga mikono
Hata huko walipopelekwa ni sehem ya Tanzania. Kwahiyo kama na wao ni sehem ya vivutio basi watalii watawafuata huko huko walipo kuona vivutio vyao. Ila hatuwezi kubali wakenya waendelee kutumia ardhi yetu kupitia mgongo wa hawa wamasai wa mchongo. Never.
ππππ mleta mada na wakenya wake waliomtuma, wameukimbia uzi wao wenyewe. Wao walijua labda propaganda zao zingewasaidia kubaki katika ardhi yetu bila shida yoyote. Matokeo yake wameambulia aibu, kwa kupata mashambulizi katika uzi mzima.
Wamasai siyo jamii ya kwanza kuhamishwa kutoka sehem moja kupelekwa sehem nyingine. Imeshafanyika awamu ya kwanza tena hakuna aliejengewa, imeshafanyika na awamu zingine pia, tena kuna wengine wamehamishwa kwa nguvu na malipo yake unakuta ni kiwanja cha miguu 20 kwa 20 huku anaehamishwa ana watoto zaidi ya 5 na hana hela ya kujenga. Kwahiyo hili la wamasai naweza kusema wamependelewa sana kwa kujengewa nyumba nzuri, hospital nzuri, miundo mbinu mizuri ya barabara, maji, umeme na kila familia imepewa kipande kikubwa cha ardhi kwa ajili ya mifugo yao na kilimo. Umeshajiuliza wale waliobomolewa nyumba zao kimara wakati wa kupisha ujenzi wa barabara wanaishi vipi leo hii? Je umeshawahi kuumizwa na yale yaliotokea kwao au wale wao sio binadamu ila hawa wanaoshirikiana na wamasai wa kenya kuingiza mifugo yao ndani ya ardhi yetu ndio binadamu peke yao? Najua hili swala limewaumiza wakenya wengi kuliko wamasai wenyewe, maana wamasai walikuwa vibarua tu wa baadhi ya mifugo, ila wenye ng'ombe zao ni wakenya, na hili limewaumiza vibaya maana hawajui hatma ya mifugo yao kwa sasa.
Kwa wasioelewa mgogoro huko Ngorongoro na Loliondo.
Ni hivi , Huko Loliondo ndio kuna mwarabu(OBC) anayetaka ardhi ya wananchi, nguvu na ubabe unatumika kuwaondoa watake wasitake.
Eneo la Kilometa za mraba 1500 huko Loliondo ni eneo ambalo yule mwarabu wa OBC analitaka , na ndio figisufigisu zote hizi za kufukuza wananchi ili kumpa huyu mwarabu eneo afanye anavyotaka. Huyu mwarabu ndio Kigwangwallah alipokuwa waziri alisema alitaka kumhonga dola laki moja akakataa
Na kuhusu Ngorongoro, huko ndio wamasai wamejengewa nyumba chache Handeni ili kuwahadaa watanzania kuwa serikali inawajali wamasai kumbe bosheni. Vijumba visivyofika 1000 vingewatoshaje wamasai Laki moja?
Baadhi ya video za wananchi wakiondoka kwenye eneo wanalotaka kumpa mwarabu wa OBC hizi hapa: