Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sibaguliwi, mkuyenge nimetembeza hadi kwa maboss, wanapenda ukijeba wangu. Na mkuyenge uliopinda kuelekea kushoto.Shida sio mkuyenge shida ni kubaguliwa na huo mkuyenge unaweza tembeza Kwa Malaya maana wanaangalia hela tuu
PointKubagua wanawake wasio na kalio ni sawa, ila nyinyi kubaguliwa sio sawa?
Wanawake wengi kuwa na wewe haikuondolei ufupi wako. Utabaki kuwa mfupi tu brotherMimi ni kijeba mfupi kama gunia la karoti lakini nimesha tembeza mkuyenge kwa warembo zaidi ya 250
Living life a fantasy 🤣Hayo ni matamanio tu kama wanaume wengi walivyo obsessed na wanawake wazuri wa sura na wenye msambwanda lakini ukiingia kwenye ndoa kufanya sensa utashangaa kukuta flat screens na sura za kawaida.
Kwa hiyo usihofu, mwisho wa siku kila mtu ataoa na kuolewa kwa wakati wake. Ila ukijaribu kujua matamanio hata ya patner wako. Si ajabu ni upendo tu na ndo fungu alilopewa lakini ukawa si mwanaume wa ndoto zake
Kama tupo "Congomanii" kama tupo Congo manigaaah 😁😁😁Kuna jirani yangu kaolewa na jamaa ni mfupi balaa ila ana pesa, akiwa hayupo demu huwa namsikia akiwa na wenzie. Hivi yule andunje asingekuwa na pesa mimi ningempeleka wapi? Jamaa ni mfupi alafu demu ni mtefu wakitembea pamoja utacheka 😁
Sikiliza video inajieleza ,hapa nataka mnipe sababu tuu 👇👇
View: https://www.instagram.com/reel/DDXHLTHNU_r/?igsh=MWplOGtuMTY3bGxnZA==
Mkuu hivi wewe ndio yule jamaa flani andunje huwa anashinda pale uyole mbeya kukatisha ticket,anapiga k vant sana?Kwa hiyo tulichagua kuwa Wafupi au?
Kenge maji wewe, mimi mrefu lakini siwezi zungumza hivi kwa kipi ulichonacho hadi ubague wafupi et kwenye madeal!!!?,Ukute hata boss wako ni mfupi lkn huo urefu umekutoa akili na kujiona ndo kila kituTatizo lenu maandunje mna gubu sana na wambea wambea mno,hata me mwenyewe siwezi kupiga dili yoyote ya maana na mwanaume mfupi asee.
Ndio mkuuKwa hiyo Huwa wanachagua rangi au?
Waongo usiwaamini,akikaa mzungu na wewe black unahisi atakuchagua wewe?Ndio mkuu
Huwezi jichagulia rangi ya kuzaliwa nayoNdio mkuu
Sio Mimi ,labda unielezee kipimo Cha andunje kinafikia ngapi? 🤣🤣Mkuu hivi wewe ndio yule jamaa flani andunje huwa anashinda pale uyole mbeya kukatisha ticket,anapiga k vant sana?
Iko hivyo, mwanaume akiwa mfupi, anajua kabisa kitakachomuokoa ni hela, hivyo anajitahidi kuwa nazo.Kuna jirani yangu kaolewa na jamaa ni mfupi balaa ila ana pesa, akiwa hayupo demu huwa namsikia akiwa na wenzie. Hivi yule andunje asingekuwa na pesa mimi ningempeleka wapi? Jamaa ni mfupi alafu demu ni mtefu wakitembea pamoja utacheka 😁