Hawakucheza kwenye mvuaMkiambiwa msiruke stage hamuelewi, ona sasa!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawakucheza kwenye mvuaMkiambiwa msiruke stage hamuelewi, ona sasa!!
Subiri ushuke nawalimu wako.Mungu wangu.... Hivi ni wewe mwalimu wangu Prof. Mkenda... Dunia simama nishuke
ACHENI UNAFIKI HAPO WAZIRI ALIKUWA ANATATHIMINI WINGI NA ATHARI ZA WADUDU HAWA NA SI KWAMBA ALIKUWA ANAPAMBANA NA NZIGE KWA NJIA HIIHakika jamaa wanachapa kazi kwelikweli tena kizalendo kwa style hii ya kukanyagia mateke ukijumlisha na zile ndege zetu za kutosha zinazonyunyuzia dawa tukichanganya na yale maombi yaliyokimbiza corona basi hawa nzige week tu wanahama nchi hii au kama wataamua kukaa basi wakae kwa adabu kama panzi na senene wanavyokaa kwa staha
View attachment 1712656
Tanzania ya viwanda baba 😂😂😂Hakika jamaa wanachapa kazi kwelikweli tena kizalendo kwa style hii ya kukanyagia mateke ukijumlisha na zile ndege zetu za kutosha zinazonyunyuzia dawa tukichanganya na yale maombi yaliyokimbiza corona basi hawa nzige week tu wanahama nchi hii au kama wataamua kukaa basi wakae kwa adabu kama panzi na senene wanavyokaa kwa staha
View attachment 1712656
Yani na akili zako MBOVU unaona hapo anafanya locust volume analysis? Mjinga mkubwa ww. Locust swarm inafahamika ni millions of locusts. Sasa kucheka na kukimbia eti ndio utajua wako milioni 50.115. Kwenda zako. Hawa wazembe hawachukulii hili suala serious. Wakati nchi jirani wanapambana kwelikweli. Inasikitisha kuwa na waTz kama ww.ACHENI UNAFIKI HAPO WAZIRI ALIKUWA ANATATHIMINI WINGI NA ATHARI ZA WADUDU HAWA NA SI KWAMBA ALIKUWA ANAPAMBANA NA NZIGE KWA NJIA HII
Apo wanekosa tu ngoma ya dula makabila wangecheza kabisa😆Hakika jamaa wanachapa kazi kwelikweli tena kizalendo kwa style hii ya kukanyagia mateke ukijumlisha na zile ndege zetu za kutosha zinazonyunyuzia dawa tukichanganya na yale maombi yaliyokimbiza corona basi hawa nzige week tu wanahama nchi hii au kama wataamua kukaa basi wakae kwa adabu kama panzi na senene wanavyokaa kwa staha
View attachment 1712656
Kiongozi anacheza muziki wa Reggae na nzige!Anapiga na picha anacheka?Awamu hii viongozi tunao
by seeing live you can image which effort needed PIMBI weweYani na akili zako MBOVU unaona hapo anafanya locust volume analysis? Mjinga mkubwa ww. Locust swarm inafahamika ni millions of locusts. Sasa kucheka na kukimbia eti ndio utajua wako milioni 50.115. Kwenda zako. Hawa wazembe hawachukulii hili suala serious. Wakati nchi jirani wanapambana kwelikweli. Inasikitisha kuwa na waTz kama ww.
tunatekelezaaaa🤣🤣🤣🤣Hakika jamaa wanachapa kazi kwelikweli tena kizalendo kwa style hii ya kukanyagia mateke ukijumlisha na zile ndege zetu za kutosha zinazonyunyuzia dawa tukichanganya na yale maombi yaliyokimbiza corona basi hawa nzige week tu wanahama nchi hii au kama wataamua kukaa basi wakae kwa adabu kama panzi na senene wanavyokaa kwa staha
View attachment 1712656
Mkuu zile ni maalum kwa ajili ya kusambaratisha watu siyo waduduHivi zile washawasha zikijazwa dawa haziwezi kusaidia kwenye janga hili?