Cha kushangaza au kipya hapo ni nini?? Yalimshinda Mmarekani na mchina iwe sisi?? We can not manage and that is the fact.
Hiyo ndio lugha mtumie, acheni kuchekelea juhudi zetu huku mkijisifu kwamba nyie mna uwezo mkubwa zaidi ya wote tuwaige, hapa Afrika tunakwenda tu hivi hivi kibahati bahati, wenye uwezo zaidi yetu mara 1,000 wanakufa kwa maelfu, hapa Afrika kuna mitaa bila hata maji ya kunywa sembuse ya kunawa mikono?
LOL wakenya wenzio 40 wametoroka karantiniHiyo ndio lugha mtumie, acheni kuchekelea juhudi zetu huku mkijisifu kwamba nyie mna uwezo mkubwa zaidi ya wote tuwaige, hapa Afrika tunakwenda tu hivi hivi kibahati bahati, wenye uwezo zaidi yetu mara 1,000 wanakufa kwa maelfu, hapa Afrika kuna mitaa bila hata maji ya kunywa sembuse ya kunawa mikono?
Hawa hapa wanagombania maji ya kunywa, ndio wanategemewa wawe na maji ya kunawa kila baada ya dakika kumi, kirusi kinaua wenye mabomba ya maji na sink pembeni mwa hata kitanda chumbani.
wewe mzee,sisi tumepiga magoti kukubali kwamba ni maskini hata move yetu kupambana na huu ugonjwa imekuwa smart sana.si kama nyinyi mnaziba shimo la panya kwa mkate wa kunywea chai.
ndio maana tunawashangaa,just kuwashaa tu.je mna ulazima kuiga us walichofanya au ndio kukariri???
hatuwezi kukubari kupigwa nje ndani,yesss na Mungu bado yuko upande wetu.
Mkuu naoana ww akili za ubinafsi zimekukaa sana!
Hili janga sio la tanzania peke yake wala kenya.
Wanao kufa sio kwamba wanapenda kufa.
Jitihada nikuweka umoja wetu mbele kuzuia maambukizi zaidi. Na kuliepuka kuliko kujimwambafai kwa vitu vya kijingajinga kama ukenya na utanzania!
Hii serikali ya kihuni si inasema yenyewe ni dona kantri?? Umesahau mara hii serikali inayokusanya kuliko zoteCha kushangaza au kipya hapo ni nini?? Yalimshinda Mmarekani na mchina iwe sisi?? We can not manage and that is the fact.
Kunavitu vyakutaniana mkuu kma majirani ingawa vitu konko kma hvi mm na ww hatujui kma tutapona au laa!.Hii elimu kawape wenzako wanaoanzisha nyuzi kila siku za kuchekelea juhudi za Wakenya huku wao wakijisifia na kujimwambafai.
Hii elimu kawape wenzako wanaoanzisha nyuzi kila siku za kuchekelea juhudi za Wakenya huku wao wakijisifia na kujimwambafai.
Changio lako hapa haliendani na uzi huu kabisaaaa. Waziri kasema; We can do nothing against Corona. Sasa sisi kuwa donakantri inazuia Corona?? Mmarekani na mchina sio donakantri? Leteni hoja zenye nguvu sio misemo hapa JF.Hii serikali ya kihuni si inasema yenyewe ni dona kantri?? Umesahau mara hii serikali inayokusanya kuliko zote
Nyie ni dona kantri km China na China wamedhibiti......Yaani unapojiapiza kua we cannot manage ndo mnashangaza dona kantri au umesahau ulichokua umeandika.....Changio lako hapa haliendani na uzi huu kabisaaaa. Waziri kasema; We can do nothing against Corona. Sasa sisi kuwa donakantri inazuia Corona?? Mmarekani na mchina sio donakantri? Leteni hoja zenye nguvu sio misemo hapa JF.
hakika MK254 anajitahidi.Mimi najua wewe jamaa ni mtz.
Hahahah hakuna Mkenya anajua kiswahili kama hivi
hakika MK254 anajitahidi.
ningekuwa mimi ni uhuru kenyatta, ningetuma watu wangu wamtafute huyu jama, halafu ningemtumia kama mtu wangu wa propaganda kwa upande wa nchi zote za EA zinazozungumza kiswahili. angeisaidia serikali ya kenya katika agenda zake za kikanda.
shida ya kenya huwezi kupata nafasi ya kuwa karibu na watawala kama haupo kwenye circle yao. na hii haingalii kama wewe ni mkikuyu, jaruo au kalenjin.
yote ambayo huyu jamaa anayafanya hapa jf anafanya tu kwa kusukumwa na uzalendo, wenyewe wanaita "blind patriotism".
Nimeipata hii video kwenye uzi mwingine,