Video: Wema Sepetu ajitabiria kifo

Video: Wema Sepetu ajitabiria kifo

Nothing is the number when you die
Hii itampunguzia maumivu mengi lakini atapotea kwenye media the soonest
Wema ndio tayari wakati ushamtupa mkono...muda wake wa kuwika umeshakwisha!,umeshapita
The saddest thing ni kwamba hakujaaliwa mtoto[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji25] [emoji25] [emoji25] [emoji25] faraja ya mwisho ya mwanadamu! Kwahiyo mawazo ya kufa kufa na hata ndoto lazima vimtokee
Siku akilala na asiamke tena tusishangae
 
Mleta mada usiwe me mpuuzi...
Unasema Wema amefungua miradi mingi kwa kutumia jina lake... Miradi ipi??
Kuuza ndala!!?? Kuuza vichora mdomo!!?? Can u refer that as a project or business ya kueleweka???
Stand firm.. Usikubali kutumika ndugu.
Mkuu ungemuuliza tu net worth yake ni kiasi gani?

Analipa kodi kiasi gani?
 
Back
Top Bottom